MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU AKUTANA NA BALOZI WA UHOLANZI NCHINI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Uholanzi nchini Mhe. Jaap Frederiks ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu jijini Dar es Salaam kuaga rasmi kwani muda wake wa kutumikia hapa nchini umemalizika.
HomeJamii

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU AKUTANA NA BALOZI WA UHOLANZI NCHINI

Na Mwandishi Wetu. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Baloz...

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KIONGOZI WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA URUSI NA KIONGOZI WA BUNGE LA NCHI HIYO.
NAIBU WAZIRI SHONZA AFANYA ZIARA BARAZA LA SANAA LA TAIFA (BASATA)
WAZIRI MAKAMBA AELEZA MOJA YA KERO KUBWA YA MUUNGANO ILIYOSALIA NI KODI
Na Mwandishi Wetu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uholanzi nchini Mhe. Jaap Frederiks  ambaye alifika Ikulu kwa lengo la kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini.
Makamu wa Rais alimhakikishia Balozi huyo kuwa Tanzania itazidi kuimarisha uhusiano wake na nchi ya Uholanzi hasa katika sekta  ya kilimo, elimu na uboreshwaji  wa  mazingira ya uwekezaji ili  kufikia lengo la Tanzania ya Viwanda.

Aidha, Mhe.Balozi aliahidi kuwa mjumbe mzuri wa Tanzania na atarejea mara kwa mara kuja kutembea kwani Tanzania ina watu wema na vivutio vingi vya utalii.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya kitabu kiitwacho 'The Netherlands at its best’  kutoka kwa  Balozi wa Uholanzi nchini Mhe. Jaap Frederiks ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu jijini Dar es Salaam kuaga rasmi kwani muda wake wa kutumikia hapa nchini umemalizika.




Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Uholanzi nchini Mhe. Jaap Frederiks (kushoto) mara baada ya mazungumzo yaliofanyika Ofisini kwa Makamu wa Rais, Ikulu jijini Dar es Salaam

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Uholanzi nchini Mhe. Jaap Frederiks na Kaimu Balozi Lianne Houben (kulia) mara baada ya mazungumzo yaliofanyika Ofisini kwa Makamu wa Rais, Ikulu jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU AKUTANA NA BALOZI WA UHOLANZI NCHINI
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU AKUTANA NA BALOZI WA UHOLANZI NCHINI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1L-wQluQ1LTgRt9hDShgvE4H0MVEwf_p9gFCo7t9YnHd_31yXEYCIFTEpy7bVry8HIucBa340SOZg308kuZvbHgmAP9d24ihB-mg_tHMMPUEjDxhl5nU5f8NV-qi2JAG2PKJXkMtY54A/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1L-wQluQ1LTgRt9hDShgvE4H0MVEwf_p9gFCo7t9YnHd_31yXEYCIFTEpy7bVry8HIucBa340SOZg308kuZvbHgmAP9d24ihB-mg_tHMMPUEjDxhl5nU5f8NV-qi2JAG2PKJXkMtY54A/s72-c/1.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/08/makamu-wa-rais-mhe-samia-suluhu-akutana.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/08/makamu-wa-rais-mhe-samia-suluhu-akutana.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy