CHAMA CHA MAENDELEO YA MAKETE (MDA) WAPATA VIONGOZI WA KUDUMU
Katibu Mkuu Award Mpandila akipiga kura wakati wa uchaguzi huo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uhcaguzi, Justino  Jekela.
HomeJamii

CHAMA CHA MAENDELEO YA MAKETE (MDA) WAPATA VIONGOZI WA KUDUMU

Katibu Mkuu Award Mpandila akipiga kura wakati wa uchaguzi huo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uhcaguzi, Justino  Jekela. Sehemu...

PPF YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA MOROGORO
UPUNGUFU WA WAUGUZI HOSPITALI YA YAIFA MUHIMBILI KUTATAFUTIWA UFUMBUZI
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MAKATIBU MAHUSUSI MJINI DODOMA


Sehemu ya wajumbe MDA wakifanya zoezi la upigaji kura. 
 Makamu Mwenyekiti Philipo Mahenge (kulia) na Katibu Mkuu Award Mpandila wakipiga kura wakati wa uchaguzi huo. 

Katibu Mkuu Award Mpandila akiwashukuru wajumbe kwa kufanikisha zoezi la uchaguzi huo. Katikati ni Mwenyekiti wa MDA, Clement Sanga na Makamu Naibu Katibu Mkuu, Monny Luvanda. 

Mwenyekiti wa MDA, Clement Sanga akiwashukuru wajumbe na kutoa nasaa za mwelekeo wa chama kwa siku za baadae baada zoezi la uchaguzi huo. Kulia ni Katibu Mkuu Award Mpandila na Naibu Katibu Mkuu, Monny Luvanda.

Baadhi ya wajumbe wakipiga kura


Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Justino Jekela akiongea na wajumbe wakati wa shughuli ya uchaguzi huo.

Baadhi ya wajumbe wakipiga kura.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni baada ya uchaguzi. 
Baadhi ya wajumbe wakiwa katika picha ya pamoja baada ya uchaguzi. 
Sehemu ya wajumbe MDA wakiwa katika picha ya pamoja Mwenyekiti wa Clement Sanga (wa nne kulia), Katibu Mkuu Award Mpandila (wa tano kushoto), Naibu Katibu Mkuu Monny Luvanda (wa tatu kulia) baada ya uchaguzi. (Imeandaliwa na Robert Okanda blogspot)
TAARIFA YA KAMATI YA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA MDA ULIO FANYIKA AUGUST  27 2017*

Kipekee kabisa tunawapongeza Wanachama wote wa MDA na wasio Wanachama bali ni wapenda maendeleo ya Wilaya yetu ya Makete 

Mnamo tar 09/07/2017 Kamati hii ndipo ilipokabidhiwa rasmi jukumu la kutunga *KANUNI* pamoja na *SIFA* za Wagombea kwa mujibu wa Katiba yetu ya MDA 

Jumla ya wajumbe kumi na moja(11) tuliopendekezwa tulianza kuratibu shughuli nzima ya kuyafanyia kazi majukumu hayo pamoja na kwamba haikuwa kazi rahisi ila tulikubaliana na changamoto tutakazokutana nazo mbeleni 

Hatimaye siku ya leo tumefikia tamati kwakuwapata Viongozi ambao tulikuwa tunawasubiria kwa hamu kubwa sana leo tumewapata, kwani wameshinda kwa asilimia mia moja kwa maana ya kura zote zilizopigwa zilikuwa ni za *NDIO* hivyo wafuatao wametangazwa rasmi kuwa Viongozi wetu wa MDA kwa muda elekezi Kikatiba

CLEMENT ANDREW SANGA 
(MWENYEKITI) 
PHILIPO HOSIANA MAHENGE (MAKAMU MWENYEKITI) 
AWARD ASSA MPANDILAH 
(KATIBU MKUU) 
MONNY FARAJA LUVANDA 
NAIBU KATIBU MKUU

Kamati inawapongeza sana wajumbe wote kwa ushirikiano wenu mzuri mlioutoa tangu kamati hii ianze kazi mpaka leo na tumejifunza mengi kupitia ninyi hivyo tuendelee kushikamana kama familia moja ya Makete 

Pongez nyingi sana kwa Viongozi waliothubutu kuchukua fomu na kuzijaza na leo wamekuwa Viongozi ambao watatuunganisha Wanamakete wote kwa ajili ya Maendeleo ya Wilaya yetu 

Mwisho kabisa tunawapongeza wote mliofika ukumbini na kuamua kwa moyo mmoja kupiga kura za NDIO kwa kila mgombea wa nafasi husika bila hata ya kura moja ya hapana hii yote ni ishara ya Ushindi kwa Viongozi wetu na Wanamakete wote kwa ujumla, sisi kama Kamati tumefarijika mno kwa kitendo hiki cha leo cha kiungwana na kiujasiri!! 

Uchaguzi umeisha tuanze sasa Vitendo kwa spidi ya ajabu huku tukimtumainia Mungu peke yake na wala sio Wanadamu ambao mara zote hugeuka kulingana na mahitaji yao ya mwili kwa manufaa yao ya kibnafsi!!! 

Asanteni sana Wanamakete wote!!
Wenu Katibu wa Kamati ya Uchaguzi -Hery Mbilinyi
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: CHAMA CHA MAENDELEO YA MAKETE (MDA) WAPATA VIONGOZI WA KUDUMU
CHAMA CHA MAENDELEO YA MAKETE (MDA) WAPATA VIONGOZI WA KUDUMU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEglAVnZGuQojh2zyn0Kx2fS3M4XTw8xxfgKZpEtz0xXCoNCslyfXceZj90WRrCXL-r6PkqYdUbUoIMorIDlTX7JPw0tiFUHLtZGI75l_w8qdr3LxQj1kKsq2-hCgjmzH18tBvjQ0AO3FaM/s640/U10.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEglAVnZGuQojh2zyn0Kx2fS3M4XTw8xxfgKZpEtz0xXCoNCslyfXceZj90WRrCXL-r6PkqYdUbUoIMorIDlTX7JPw0tiFUHLtZGI75l_w8qdr3LxQj1kKsq2-hCgjmzH18tBvjQ0AO3FaM/s72-c/U10.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/08/chama-cha-maendeleo-ya-makete-mda.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/08/chama-cha-maendeleo-ya-makete-mda.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy