JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO Simu ya...
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO
Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo: DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,
Telex : 41051 DAR ES SALAAM, 11 Julai, 2017.
Tele Fax : 2153426
Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.uk
Tovuti : www.tpdf.mil.tz
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatarajia kukabidhi Majengo ya kituo cha afya Kabyaileishozi,kituo cha malezi ya Wazee cha kilima na shule ya sekondari ya Omumwami yaliyoko wilaya ya Misenyi Mkoani Kagera tarehe 12 Julai 2017 kuanzia saa mbili kamili asubuhi 2:00.
Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu SSera,Uratibu na Bunge Mhe Jenista Mhagama.
Ukiwa mdau wa habari inaombwa kutuma mwakilishi wa chombo chako cha habari ili kufanya coverage la tukio hilo muhimu kwa maendeleo ya Taifa letu.Natanguliza shukrani.
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P 9203, Dar es Salaam, Tanzania.
Kwa Mawasiliano zaidi: 0756-716085
COMMENTS