BALOZI WA ISRAEL NCHINI AMALIZA MUDA WAKE
HomeJamii

BALOZI WA ISRAEL NCHINI AMALIZA MUDA WAKE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Israel nchi...

ZAIDI YA WATU KUSHIRIKI MAFUNZO YA MKIKITA YA KILIMO BIASHARA CHA PAPAI SALAMA
PASIPOTI MPYA NI SALAMA ASILIMIA 100: UHAMIAJI
SERIKALI YAANZA UTEKELEZAJI WA MKAKATI WA KUPANUA WIGO WA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Israel nchini anayemaliza muda wake Mhe. Yahel Vilan. 

Balozi huyo alikutana na Makamu wa Rais na kumuaga rasmi kwani muda wake wa kutumikia nchini ulikuwa umemalizika. akamu wa Rais alisema anafurahi kuona Idadi kubwa ya Watalii kutoka Israel wanaokuja Tanzania . 

“Tunawakaribisha sana Tanzania ,waje kwa wingi wao, tunawakaribisha kwa mikono miwili” na alimuhakikishia Balozi huyo kuwa Tanzania itaendelea kuimarisha mahusiano yaliyopo baina ya nchi hizi mbili. 

Kwa upande wake Balozi Yahel alisema watalii kutoka nchini Israel wameongezeka kutokana na kuvutiwa na mazingira mazuri , amani na utulivu wa nchi. 

Balozi Yahel alisema atakuwa mjumbe wa kuitangaza Tanzania popote duniani .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Israel nchini Mhe. Yahel Vilan (kushoto) ambaye muda wake wa kutumikia umemalizika na alifika kumuaga Mhe. Makamu wa Rais kwenye makazi yake Oysterbay jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuaga .(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Israel nchini Mhe. Yahel Vilan (kushoto) ambaye muda wake wa kutumikia umemalizika na alifika kumuaga Mhe. Makamu wa Rais kwenye makazi yake Oysterbay jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuaga .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Israel nchini Mhe. Yahel Vilan (kushoto)ambaye muda wake wa kutumikia umemalizika na alifika kumuaga Mhe. Makamu wa Rais kwenye makazi yake Oysterbay jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuaga .

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: BALOZI WA ISRAEL NCHINI AMALIZA MUDA WAKE
BALOZI WA ISRAEL NCHINI AMALIZA MUDA WAKE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhb8fIzeArFnFTWg3bnw7JlbPecOb1e5g9bLNZANno4iQBuae9zXQhDs4IPiZ7eTc7QANh7HnEbwtmVZJwlVgyLTuGF7s0iJ_DIDYHKxcfq4VkXFnTPSfHmZHoswogXRL-lae_6IIso-bQ/s640/7.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhb8fIzeArFnFTWg3bnw7JlbPecOb1e5g9bLNZANno4iQBuae9zXQhDs4IPiZ7eTc7QANh7HnEbwtmVZJwlVgyLTuGF7s0iJ_DIDYHKxcfq4VkXFnTPSfHmZHoswogXRL-lae_6IIso-bQ/s72-c/7.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/07/balozi-wa-israel-nchini-amaliza-muda.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/07/balozi-wa-israel-nchini-amaliza-muda.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy