MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA WAAJIRI (ATE) WAFANYIKA DAR ES SALAAM
HomeJamii

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA WAAJIRI (ATE) WAFANYIKA DAR ES SALAAM

Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji, Mh Charles Mwijage (kushoto), akizungumza na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chama cha ...

RC MSENZA AONGOZA WANANCHI KATIKA MAZOEZI KIAFYA UWANJA WA SAMORA ASUBUHI YA LEO
MAKAMU WA RAIS AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA PAMOJA YA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO NA ILE YA MAPINDUZI, MJINI UNGUJA
HALMASHAURI YAIFUNGIA KWA MUDA USIOJULIKANA SHULE YA MSINGI HAZINA MISION KWA KUTOKUWA NA VIWANGO VYA UANDIKISHAJ



Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji, Mh Charles Mwijage (kushoto), akizungumza na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) Mh. Almas Maige (kulia), huku Mkurugenzi Mtendaji wa ATE, Dk. Aggrey Mlimuka akisikiliza wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa chama hicho jijini Dar es Salaam jana.
Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage (wa pili kushoto) akilakiwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Almas Maige (kushoto), na Mratibu wa Mradi wa Mwanamke wa Wakati Ujao, Lilian Machera (kulia) alipokuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa chama hicho, Dar es Salaam jana.
Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Mama Jayne Nyimbo (wa pili kushoto), akizungumza mara baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo wakati wa Mkutano Mkuuu wa Mwaka wa chama hicho jijini Dar es Salaam jana. Wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa ATE, Dk. Aggrey Mlimuka, aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Mhe. Almas Maige na Makamu Mwenyekiti mpya, Felix Kagisa.
Mkurugenzi​Mtendaji ​ wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Dk. Aggrey Mlimuka (kushoto), akiwa na baadhi ya maofisa wa chama hicho wakati zoezi la kuhesabu kura likiendelea.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), wakisikiliza hotuba mbalimbali zilizokuwa zikitolewa.
Baadhi ya washiriki katika mkutano huo wakimsikiliza Waziri wa Viwanda, Charles Mwijage ambaye alisema serikali itaendela kujenga mazingira mazuri ya utoaji vibali vya uwekezaji ili kuweza kufikia ajenda yake ya kuimarisha uchumi wa viwanda.
Aliyekuwa Mwenyekiti Bodi ya Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Mhe. Almas Maige akizungumza wakati wa mkutano huo uliofanyika pamoja na mkutano kujadili masuala mbali mbali kuhusu ajira na uwekezaji.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA WAAJIRI (ATE) WAFANYIKA DAR ES SALAAM
MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA WAAJIRI (ATE) WAFANYIKA DAR ES SALAAM
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgH8Lcd_5B6Q4C9YL-H9LCQiIiJyvX3JP2snKxSP1ilbSkMu5n5CTtp0kkrDV-mgnb0y0XTaqfQxb92Lq18-Ajmr-7ZUC1249LGxRm2WPDLGrh0Z956TURRmJTfBsWFQngkjIjvXHyG62c/s640/01.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgH8Lcd_5B6Q4C9YL-H9LCQiIiJyvX3JP2snKxSP1ilbSkMu5n5CTtp0kkrDV-mgnb0y0XTaqfQxb92Lq18-Ajmr-7ZUC1249LGxRm2WPDLGrh0Z956TURRmJTfBsWFQngkjIjvXHyG62c/s72-c/01.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/06/mkutano-mkuu-wa-mwaka-wa-chama-cha.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/mkutano-mkuu-wa-mwaka-wa-chama-cha.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy