WAZIRI MWIGULU NA WATENDAJI WAKE WAKUU WAJADILI BAJETI YA WIZARA YAKE IKIWA KABLA YA KUIWASILISHA KWENYE BUNGE MJINI DODOMA
HomeJamii

WAZIRI MWIGULU NA WATENDAJI WAKE WAKUU WAJADILI BAJETI YA WIZARA YAKE IKIWA KABLA YA KUIWASILISHA KWENYE BUNGE MJINI DODOMA

  Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mwigulu Nchemba  wa pili kushoto akitoa Maelekezo kwa  Watendaji Wakuu wa  Wizar...

WANAWAKE WA KANISA LA PENTEKOSTE TANZANIA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA KUDUMISHA AMANI NCHINI
WATANZANIA WAISLAMU NCHINI MAREKANI WASHEREHEKEA SIKUKUU YA EID EL FITR
WAISLAMU WASHIRIKI SALA YA EID EL FITR
 Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mwigulu Nchemba  wa pili kushoto akitoa Maelekezo kwa  Watendaji Wakuu wa  Wizara yake wakati wa Kikao cha cha maandalizi ya mwisho cha kupitia Bajeti  ya Taasisi ziliko katika Wizara yake, kabla ya kuiwasilisha Bajeti ya Wizara yake katika Vikao vya Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku ya Jumanne. Kushoto (kwake) ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhandisi Hamadi Masauni na Katibu Mkuu wa Wizara  ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (kulia), Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Mikutano wa  Wizara mjini Dodoma. 
 
 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Ernest Mangu aliyenyanyua mkono akitoa ufafanuzi wa jambo fulani kuhusu bajeti  ya Jeshi la Polisi nchini mbele ya Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba  wakati wa Kikao cha Mapitio ya Bajeti  ya Taasisi ziliko katika Wizara hiyo,  ikiwa ni maandalizi  ya mwisho kabla ya Bajeti ya Wizara hiyo kuwasilishwa kwenye  Vikao vya Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, siku ya  Jumanne. Kikao hicho kilichowashirikisha Watendaji Wakuu wa Wizara hiyo na Maafisa Mipango wa Wizara kimefanyika katika ukumbi wa Mikutano wa  wizara hiyo mjini Dodoma. 
 Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akipokea taarifa mbalimbali zilizotolewa na watendaji wakuu wa Wizara yake wakati wa Kikao cha Maandalizi ya mwisho ya kupitia ya Bajeti  ya Taasisi ziliko katika Wizara yake,  kabla ya kusomwa kwa Bajeti ya Wizara yake katika Vikao vya Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku ya Jumanne. Kushoto (kwake) ni  Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhandisi Hamadi Masauni, Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Mikutano wa  wizara mjini Dodoma. 
 
 Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza  nchini, Dkt. Juma Malewa (wa pili kulia) akitoa ufafanuzi mbele ya Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba  wakati wa Kikao cha Mapitio ya Bajeti  ya Taasisi ziliko katika Wizara hiyo, ikiwa ni maandalizi  ya mwisho kabla ya Bajeti ya Wizara hiyo kuwasilishwa kwenye  Vikao vya Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, siku ya Jumanne. 
 
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini, Thobias Andengenye akitoa ufafanuzi kuhusu Jeshi lake mbele ya Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba  wakati wa Kikao cha maandalizi ya mwisho ya kupitia ya Bajeti  ya Taasisi ziliko katika Wizara hiyo, kabla ya Bajeti ya Wizara hiyo kusomwa kwenye Vikao vya Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, siku ya Jumanne.
(PICHA ZOTE NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI)
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI MWIGULU NA WATENDAJI WAKE WAKUU WAJADILI BAJETI YA WIZARA YAKE IKIWA KABLA YA KUIWASILISHA KWENYE BUNGE MJINI DODOMA
WAZIRI MWIGULU NA WATENDAJI WAKE WAKUU WAJADILI BAJETI YA WIZARA YAKE IKIWA KABLA YA KUIWASILISHA KWENYE BUNGE MJINI DODOMA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcHzsOoIygSTbBs3YOL_cgIbRoKUP_r_ipAsTsM2QPzcmec5YishFSlw0gN9nITeERG9rK_pjGnWe5RE4h0ueYZjvvvDoa9gJGQjkjIV504TwYkux6y0BVwTTZV6S6ZHx-kf6dffyPnoo/s640/unnamed+%252863%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcHzsOoIygSTbBs3YOL_cgIbRoKUP_r_ipAsTsM2QPzcmec5YishFSlw0gN9nITeERG9rK_pjGnWe5RE4h0ueYZjvvvDoa9gJGQjkjIV504TwYkux6y0BVwTTZV6S6ZHx-kf6dffyPnoo/s72-c/unnamed+%252863%2529.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/05/waziri-mwigulu-na-watendaji-wake-wakuu.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/waziri-mwigulu-na-watendaji-wake-wakuu.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy