SERIKALI YATENGA BILIONI 30 KAMA FIDIA KWA WAKAZI WA KIPUNGUNI”-MHE.NGONYANI
HomeJamii

SERIKALI YATENGA BILIONI 30 KAMA FIDIA KWA WAKAZI WA KIPUNGUNI”-MHE.NGONYANI

Na Daudi Manongi-MAELEZO, DODOMA Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imetenga Shilingi bilioni thelathini (30...

WANAFUNZI JITEGEMEE SEKONDARY WATAKIWA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA AJILI YA KUJIFUNZIA
WAKATI UMEFIKA WANAWAKE KUAJIRI NA KUFUKUZA-MONGELA
ZIARA YA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA WILAYANI KALIUA MKOA WA TABORA
Na Daudi Manongi-MAELEZO, DODOMA


Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imetenga Shilingi bilioni thelathini (30) katika mwaka wa fedha 2017/2018 ili kukamilisha malipo ya fidia kwa wananchi wa Kipunguni wanaopisha upanuzi wa Uwanja wa ndege.


Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Ujenzi,uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani  Bungeni Mjini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Segerea Bonnah Kaluwa.


“Ni kweli Serikali ilifanya uthamini wa mali za wananchi ili kupisha upanuzi wa kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Dar es Salaam mwishoni wa miaka ya 90 ambapo maeneo yaliyoainishwa kwa ajili ya upanuzi huo ni Kipawa, Kigilagila na Kipunguni”, Alisema Mhe. Ngonyani


Ameongeza kuwa kutokana na gharama za fidia na uhaba wa fedha, Serikali imekuwa ikilipa fidia kwa wakazi hao kwa awamu.


Ambapo Mwaka 2009/10 wakazi wapatao 1500 wa eneo la Kipawa walilipwa fidia  zinazofikia shilingi bilioni 18 ambapo zoezi hilo lilikamilika Januari 2010.


Katika mwaka wa Fedha 2010/2011 Serikali ililipa Shilingi Bilioni 12 za fidia kwa wakazi 864 wa Kigilagila na malipo yalikamilika Januari 2011.


Katika mwaka 2013/14 Serikali ililipa Shilingi Bilioni 1.2 ikiwa ni fidia kwa wakazi 59 kati ya wakazi 801 kwa eneo la Kipunguni.


Aidha katika malipo hayo ni wakazi 742 wa Kipunguni ndio ambao hawajalipwa fidia zao zenye thamani ya takribani 19.

“Mwaka wa Fedha 2016/17 Serikali imetenga shilingi Bilioni tano kwa ajili ya kulipa fidia kwa wakazi hao wa Kipunguni”Alisisitiza Mhe. Ngonyani.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SERIKALI YATENGA BILIONI 30 KAMA FIDIA KWA WAKAZI WA KIPUNGUNI”-MHE.NGONYANI
SERIKALI YATENGA BILIONI 30 KAMA FIDIA KWA WAKAZI WA KIPUNGUNI”-MHE.NGONYANI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKocBJz-D55hn5Rcuw_q8Xp79f20Kh6ymgDVs4yMXmZDlDRcjeKOvT9mXZJWOhdvCKyOLu9MoNbIK6g3pT3r0-8dr7h12bX_FRD1hCRMz2v3D4rWpf_icPzHZ_xdDI_tN94DhnEFGco88/s400/unnamed.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKocBJz-D55hn5Rcuw_q8Xp79f20Kh6ymgDVs4yMXmZDlDRcjeKOvT9mXZJWOhdvCKyOLu9MoNbIK6g3pT3r0-8dr7h12bX_FRD1hCRMz2v3D4rWpf_icPzHZ_xdDI_tN94DhnEFGco88/s72-c/unnamed.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/05/serikali-yatenga-bilioni-30-kama-fidia.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/serikali-yatenga-bilioni-30-kama-fidia.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy