Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai akisalimiana na Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta wakati wa ibada Maal...

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job
Ndugai akisalimiana na Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta wakati wa ibada Maalum
ya kuliombea Taifa la Kenya iliyoandaliwa na Bunge la nchi hiyo. Wengine katika
pichani kutoka kushoto ni Spika wa Bunge
la Kenya Justin Muturi, Spika wa Bunge
la Seneti la Kenya Mhe Ekwee Ethuro na
Jaji Mkuu wa Kenya Jaji David Maraga. Mhe Ndugai yuko katika
ziara ya kibunge nchini Kenya kwa mwaliko Bunge la Kenya ambapo amembatana na
wajumbe wa Tume ya Utumishi ya Bunge, Mhe Mary Chatanda, Mhe Salim Turky na Mhe
Mch.Peter Msigwa.
MHE SPIKA JOB NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA RAIS WA KENYA

Advertisement

MAIN QUOTE
x cbfgmfg hghg
- Steve Jobs
WEEK TRENDING
Loading...
YEAR POPULAR
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Prof.Jumanne Maghembe akisoma Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake kwa m...
HUYU NDIYE MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI MWANAMA Mikel Ruffinelli mkazi wa Los Angeles, Marekani, amedhihirisha k...
Mkuu wa Chuo cha Maafisa wa Jeshi kilichopo Monduli mkoani Arusha Meja Jenerali Paul Mssao akitoa taarifa ya maofisa wapya kwa Amiri ...
COMMENTS