MGOMBEA URAIS UFARANSA ARUSHIWA MAYAI NA WAANDAMANAJI
HomeJamii

MGOMBEA URAIS UFARANSA ARUSHIWA MAYAI NA WAANDAMANAJI

NA K-VIS BLOG/Mashirika ya Habari MGOMBE urais wa Ufaranasa, mwanamama Marine Le Pen,(48), amerushiwa mayai na waandam...

MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO
DAWASCO YARAHISISHA HUDUMA KWA WATEJA WA MAJI, SASA KUUNGANISHWA KWA NJIA YA SIMU
WAFANYAKAZI JUMIA WAFANYA MATEMBEZI YA HISANI KUCHANGIA FEDHA KUSAIDIA JAMII



NA K-VIS BLOG/Mashirika ya Habari
MGOMBE urais wa Ufaranasa, mwanamama Marine Le Pen,(48), amerushiwa mayai na waandamanaji dakika chache kabla ya kuongea na waandishi wa habari.
Walinzi wake walilazimika kumuondoa kwa haraka huku wakimfunika baada ya mayai kuvurumishwa na waandamanaji hao wanaopinga sera za mgombea huyo ambaye hataki wahamiaji.
Tukio hilo lililotokea Mei 4, 2017, limekuja siku moja baada ya kushiriki katikammdahalo wa TV na mpinzani wake, Emmanuel Marcon.
Hata hivyo hakuna yai lililompata, baada ya walinzi wake kujenga “ukuta” na kumuondosha kwa haraka kwenye eneo la tukio.
Kiasi cha waandamanaji wapatao 50, walikuwa wamejipanga, wakati Mama Le Pen alipowasili kwenye kampuni ya usafirishaji kwenye mji wa Magharibi wa Dol-de-Bretagne na kuanza kubuirumisha mayao huku wakipiga kelele za fashist.

 Bibi Le Pen akiwasili eneo alikorushiwa mayai.
 
 Waandamanaji wanaopinga sera za Bbi Le Pen
 Walinzi wa Bibi Lepen, "wakijenga ukuta" kumuokoa na "makombora" ya mayai
 Bi Le Pen akisindikizwa na walinzi wake
Emmanuel Marcon
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MGOMBEA URAIS UFARANSA ARUSHIWA MAYAI NA WAANDAMANAJI
MGOMBEA URAIS UFARANSA ARUSHIWA MAYAI NA WAANDAMANAJI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixtktwEJDv3iyW-cmgLIMJB3oXsku_2EGsgj0Xf0nxECjJUVEW1bRequ8Fqeb-IoaNdUxWS2bzmEfDhduJAFMUArPXOO5ljYSsYJ5wSvqX-piNTDfw3ud7jRRHBcsBBRSC3p-qJ3CRNRM/s640/LE+PEN.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixtktwEJDv3iyW-cmgLIMJB3oXsku_2EGsgj0Xf0nxECjJUVEW1bRequ8Fqeb-IoaNdUxWS2bzmEfDhduJAFMUArPXOO5ljYSsYJ5wSvqX-piNTDfw3ud7jRRHBcsBBRSC3p-qJ3CRNRM/s72-c/LE+PEN.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/05/mgombea-urais-ufaransa-arushiwa-mayai.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/mgombea-urais-ufaransa-arushiwa-mayai.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy