WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA PROF PALAMAGAMBA KABUDI AWASILI OFISINI MJINI DODOMA
HomeJamii

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA PROF PALAMAGAMBA KABUDI AWASILI OFISINI MJINI DODOMA

Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi amewasili katika Ofisi za Makao makuu ya Wizara zilizoko ndani ya Chuo Kikuu cha Dodom...

WAZIRI LUKUVI APOKEA RIPOTI YA MUFTI WA TANZANIA KUHUSU UFISADI ULIOFANYWA KWENYE MILKI YA MAENEO YA WAISLAMU
JESHI LA POLISI KUSINI PEMBA LAMKAMATA KIJANA AKIWA NA KETE 241 ZA MADAWA YA KULEVYA
TANGAZO; KARIBU KWENYE MKUTANO MKUBWA WA INJILI JIJINI MWANZA

Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi amewasili katika Ofisi za Makao makuu ya Wizara zilizoko ndani ya Chuo Kikuu cha Dodoma na kulakiwa na watumishi wa Wizara walioko makao makuu ya Serikali mjini Dodoma.


Prof Kabudi aliapishwa tarehe 24/03/2017 Ikulu jijini Dar es Salaam kuchukua nafasi hiyo baada ya Mhe.Rais kufanya mabadiliko madogo kwenye Baraza la Mawaaziri ambapo Dkt. Harrison Mwakyembe alihamishiwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.


Nje ya Ofisi za Wizara, Profesa Palamagamba Kabudi alilakiwa na Naibu Katibu Mkuu, Amon Mpanju, Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Aloyce Mwogofi, Jaji Mfawidhi Kanda ya Dodoma na wafanyakazi wengine wa Wizara waliopo Makao Makuu ya Serikali mjini Dodoma.

Waziri wa Katiba na Sheria,  Profesa Palamagamba Kabudi akipokea shada la maua kutoka kwa mtumishi Joyce Mtuma mara baada ya kuwasili Wizarani mjini Dodoma. 



Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi akiangaalia kadi ya Pongezi iliyoasiniwa na watumishi wa wizara mara baada ya kuwasili Wizarani mjini Dodoma
Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi akisalimiana na
Jaji mfawidhi Kanda ya Dodoma Mhe. Mwanaisha Kwariko. Kushoto kwa Waziri ni Naibu Katibu Mkuu, Amon Mpanju mara baada ya kuwasili Wizarani mjini Dodoma




Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi akisalimiana wafanyakazi wa wizara hiyo alipowasili Wizarani hapo mjini Dodoma.




Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi akisikiliza maelezo mbalimbali alipokutana na watendaji wa Wizara na katika ukumbi wa mikutano Wizarani mjini Dodoma.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA PROF PALAMAGAMBA KABUDI AWASILI OFISINI MJINI DODOMA
WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA PROF PALAMAGAMBA KABUDI AWASILI OFISINI MJINI DODOMA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjl_-k19Osf2CSFtbD6X-QYiVr5yNdEaY7RHuu5nHuWkIWenN3y6Tc7IfZvLK1q1ebRIRF2M1_RfGkCtD6w9HG-IgEXLR2-ujtOB6UvQT485IbrfHz7ZzDelR5mxiQNBDLAu_veaHV2xvc/s640/ZA.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjl_-k19Osf2CSFtbD6X-QYiVr5yNdEaY7RHuu5nHuWkIWenN3y6Tc7IfZvLK1q1ebRIRF2M1_RfGkCtD6w9HG-IgEXLR2-ujtOB6UvQT485IbrfHz7ZzDelR5mxiQNBDLAu_veaHV2xvc/s72-c/ZA.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/03/waziri-wa-katiba-na-sheria-prof.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/waziri-wa-katiba-na-sheria-prof.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy