WATU WATATU RAIA WA BURUNDI WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKAONI KIGOMA
HomeMikoani

WATU WATATU RAIA WA BURUNDI WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKAONI KIGOMA

Na Rhoda Ezekiel Kigoma. WATU watatu raia wa Nchi ya Burundi waliopewa hifadhi katika Kambi ya wakimbizi ya Mtendeli Mkoa wa Ki...


Na Rhoda Ezekiel Kigoma.

WATU watatu raia wa Nchi ya Burundi waliopewa hifadhi katika Kambi ya wakimbizi ya Mtendeli Mkoa wa Kigoma,wanashikiliwa na Jeshi la Polisi la hapo,kwa tuhuma za upangaji wa magogo katika barabara kuu ya Kigoma ,Kasulu na Kakonko kwa lengo la utekaji wa magari hasa mabasi ya abiria yaendayo mikoani.

Pia, walipokaguliwa walikutwa na vitu vifuatavyo Bomu moja la kutupwa kwa mkono(Offensive hand Grenade),Bunduki moja ya bandia,panga mbili,rungu 3,viatu aina ya raba jozi moja,viatu vya kike jozi moja,simu aina ya nokia Nne,Tecno tatu,vipodozi vya kike,laptop ,power benki,saa,sanjari na nguo mbalimbali za kiume.

Akizungumzia tukio hilo leo mbele ya wandishi wa habari ofisini kwake kigoma Ujiji,Kamanda wa Polisi Ferdinand Mtui alisema walibaini hilo baada ya askari polisi waliokuwa katika doria kwenye njia hiyo yenye mapori makubwa ndipo waliwakamata watuhumiwa hao ambao walikuwa
kwenye mtego.

Aliyataja majina ya watuhumiwa hao ni pamoja na Hakizimana David(21),Nepomseni Niogere(25) na Nduwamahoro Justine(20) wote ni wakimbizi wanaoishi katika kambi ya mtendeli iliyopo wilaya ya Kakonko
na watafikishwa mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika.

Alitoa mwito kwa raia wote wa kigeni waliopewa hifadhi katika kambi mbalimbali za wakimbizi mkoani humo watii sheria,kanuni na taratibu
zote za nchi na waache kujihusisha na vitendo
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WATU WATATU RAIA WA BURUNDI WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKAONI KIGOMA
WATU WATATU RAIA WA BURUNDI WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKAONI KIGOMA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-2-jw9yWcSp9UrzXRclaecuc48Z3Xn62eBM8foevOL4Gj1SGoWStLJ7MVF-u1-8GjCEX08u-rr2kShnNxNB335QELhrhYwmUX4pxbvX1CAi-aI4yf2P3auhfXvSH1XeZKm4aOUo4a5W4/s320/Kamanda+wa+Polisi+mkoani+Kigoma%252C+Ferdinand+Mtui%252C.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-2-jw9yWcSp9UrzXRclaecuc48Z3Xn62eBM8foevOL4Gj1SGoWStLJ7MVF-u1-8GjCEX08u-rr2kShnNxNB335QELhrhYwmUX4pxbvX1CAi-aI4yf2P3auhfXvSH1XeZKm4aOUo4a5W4/s72-c/Kamanda+wa+Polisi+mkoani+Kigoma%252C+Ferdinand+Mtui%252C.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/03/watu-watatu-raia-wa-burundi-washikiliwa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/watu-watatu-raia-wa-burundi-washikiliwa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy