TAASISI YA MISA TANZANIA YAWANOA WANAHABARI KANDA YA ZIWA.
HomeJamii

TAASISI YA MISA TANZANIA YAWANOA WANAHABARI KANDA YA ZIWA.

Afisa Habari na Utafiti kutoka Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania, Gasirigwa Sengiyumva, akifananua j...

TAKWIMU ZINAZOONESHA HALI YA UZAZI SALAMA NCHINI TANZANIA
MEYA ILALA AFUNGUA RASMI DARAJA LA BONYOKWA-KINYEREZI
UNESCO KUENDELEA KUSAIDIA REDIO JAMII KUKUZA DEMOKRASIA
Afisa Habari na Utafiti kutoka Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania, Gasirigwa Sengiyumva, akifananua jambo kwenye mafunzo kwa waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari Kanda ya Ziwa.

Mafunzo hayo yanayofanyika kwa siku mbili Jijini Mwanza kuanzia hii leo, yamelenga kuwajengea uelewa wanahabari juu ya Sheria Mpya ya Huduma za Habari ya mwaka 2016 na Kanuni zake za mwaka 2017 na yamewahusisha wanahabari kutoka mikoa ya Mwanza, Geita, Mara na Simiyu.

Sengiyumva amebainisha kwamba mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo wanahabari katika kutimiza vyema majukumu yao bila kukinzana na sheria za habari na hata haki kuhusu uhuru wa kujieleza pamoja na vyombo vya habari.

Washiriki wa mafunzo hayo yanayofadhiliwa na Taasisi ya Friedrick Ebert Stiftung (FES) Tanzania, wamebainisha kwamba elimu waliyoipata itawasaidia katika utendaji wa majukumu yao kwani wengi wao walikuwa wakitatizwa na sheria mpya ya huduma za habari ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2017. 
#BMGHabari
Mmoja wa wakufunzi wa mafunzo hayo, Jesse Kwayu, akiwasilisha mada kuhusu nafasi ya vyombo vya habari kwenye michakato mbalimbali ya sheria nchini ikiwemo sheria ya huduma za habari ya mwaka 2016
Mwakilishi wa Metro Fm Mwanza, Alphonce Kapela, akichangia mada wakati wa mafunzo hayo
Mwakilishi wa gazeti Majira mkoani Mwanza, Judith Ndibalema, akichangia mada kwenye mafunzo hayo
Washiriki wamefurahishwa na mafunzo hayo yanayofadhiliwa na Taasisi ya Friedrick Ebert Stiftung (FES) Tanzania na kubainisha kwamba yatawasaidia katika utendaji wa majukumu yao kwani wengi wao walikuwa wakitatizwa na sheria mpya ya huduma za habari ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2017.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TAASISI YA MISA TANZANIA YAWANOA WANAHABARI KANDA YA ZIWA.
TAASISI YA MISA TANZANIA YAWANOA WANAHABARI KANDA YA ZIWA.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDzEPfSgFXOTABQHYglDaGfmUagpkgeLh7Tya_9S1aR5WVNT5t99n-P1zRd7r5f6B-Ef0SvQ-gqjhKzbZ0uH-wJc_Le5Pd9FGZm-oPN8PXXcy-bfCtXrfJZcHinYSA3yaUaxTAP7k1Mb0/s320/1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDzEPfSgFXOTABQHYglDaGfmUagpkgeLh7Tya_9S1aR5WVNT5t99n-P1zRd7r5f6B-Ef0SvQ-gqjhKzbZ0uH-wJc_Le5Pd9FGZm-oPN8PXXcy-bfCtXrfJZcHinYSA3yaUaxTAP7k1Mb0/s72-c/1.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/03/taasisi-ya-misa-tanzania-yawanoa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/taasisi-ya-misa-tanzania-yawanoa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy