RC PAUL MAKONDA ATIMIZA MWAKA MMOJA SASA, AZUNGUMZA NA KULA NA WAATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA
HomeJamii

RC PAUL MAKONDA ATIMIZA MWAKA MMOJA SASA, AZUNGUMZA NA KULA NA WAATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA

Mkuu wa Mkoa Paul Makonda akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali, wakiwemo Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa jiji la ...

WAKAZI WA JIJINI MBEYA WAENDELEA KUONJA MSISIMKO WA COCA-COLA KWENYE MATAMASHA MAALUMU KUSHEREKEA KINYWAJI HICHO KATIKA CHUPA YAKE MPYA YENYE RANGI NYEKUNDU
SERIKALI IMEFUTA USAJILI WA VIBALI VYA UZALISHAJI NA UINGIZAJI WA POMBE ZA VIROBA
WAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI CHA ALTEO NCHINI MAURITIUS
Mkuu wa Mkoa Paul Makonda akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali, wakiwemo Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa jiji la Dar,viongozi wa Dini mbalimbali, Wasaniii na vijana kutoka vituo mbalimbali vya matibabu ya dawa za kulevya walijitokeza kumsikiliza RC Paul Makonda ambaye leo alikuwa anatimiza mwaka wake mmoja wa Uongozi tangu aapishwe na Rais wa awamu ya tano, Dkt John Pombe Magufuli.
 
 
Baadhi ya waathirika wa Madawa ya Kulevya wapato zaidi ya 1500 kutoka vituo mbalimbali vinavyotoa matibabu ya Dawa za kulevya,wakiwa ndani ya bwalo la Polisi Oysterbay jijini Dar,wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa Paul Makonda alipokuwa akizungumza nao mambo mbalimbali,ya kimaendeleo pamoja na kupewa elimu mbalimbali ihusuyo dawa za kulevya.RC Makonda leo anatimiza mwaka mmoja tangu aapishwe kuwa mkuu wa mkoa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli,
Baadhi ya Viongozi mbalimbali wa dini,walialikwa kwenye hafla hiyo fupi ya kutimiza mwaka mmoja kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar,Paul Makonda
Pichani ni baadhi ya wasanii walioshiriki na kutoa neno katika hafla hiyo,wasanii hao ni TID,Diamond Paltnumz,Harmonize,Banana Zorro,Mrisho Mpoto na wengineo ambao walijitokeza kumuunga mkono RC Makonda katika suala zima la kupambana na Dawa 
za kulevya.
Vijana waliothiriwa na Madawa ya kulevya ambao kwa sasa wameahidi kuacha kutumia wakiwa wameandika bango lao la kumshukuru RC Makonda kwa kazi yake nzuri aifanyayo ya kupambana na Dawa za Kulevya.
Vijana mbalimbali walikokuwa wakitumia dawa za kulevya wakimshukuru RC Makonda kwa juhudi zake kubwa za kuhakikisha dawa za kulevya zinatokea ndani ya jiji la Dar kwa namna moja ama nyingine
 
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: RC PAUL MAKONDA ATIMIZA MWAKA MMOJA SASA, AZUNGUMZA NA KULA NA WAATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA
RC PAUL MAKONDA ATIMIZA MWAKA MMOJA SASA, AZUNGUMZA NA KULA NA WAATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYz9sCCZnCY_REVQ4EpfcEDuRHKijz4kHagYhHofRnntii0CSitpYOv-mUq3laNVTsOMNxy8YUpjTjJbgud4IlLRHM5OgNwe3IGKuuI9MMFGMvCY7Q3z_at5JoSzJP23dipLgn5ByZtB8/s640/8.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYz9sCCZnCY_REVQ4EpfcEDuRHKijz4kHagYhHofRnntii0CSitpYOv-mUq3laNVTsOMNxy8YUpjTjJbgud4IlLRHM5OgNwe3IGKuuI9MMFGMvCY7Q3z_at5JoSzJP23dipLgn5ByZtB8/s72-c/8.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/03/rc-paul-makonda-atimiza-mwaka-mmoja.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/rc-paul-makonda-atimiza-mwaka-mmoja.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy