SERIKALI IMEFUTA USAJILI WA VIBALI VYA UZALISHAJI NA UINGIZAJI WA POMBE ZA VIROBA
HomeJamii

SERIKALI IMEFUTA USAJILI WA VIBALI VYA UZALISHAJI NA UINGIZAJI WA POMBE ZA VIROBA

NA LILIAN LUNDO – MAELEZO SERIKALI imefuta usajili wa vibali vya uzalishaji na Uingizaji wa aina 20 ya pombe kali z...

MSD YATUNUKIWA ITHIBATI YA JUU YA UBORA
WAZIRI MAHIGA AFANYA MAZUNGUMZO NA WABUNGE WA EALA
RAIS MAGUFULI AMUAPISHA LUTENI JENERALI YAKUBU HASSAN MOHAMED KUWA MNADHIMU MKUU WA JWTZ




NA LILIAN LUNDO – MAELEZO
SERIKALI imefuta usajili wa vibali vya uzalishaji na Uingizaji wa aina 20 ya pombe kali za viroba zilizokuwa zimesajiliwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA).
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, (pichani juu), ameyasema hayo leo, Jijini Dar es Salaam kuhusu usitishaji wa uzalishaji na uingizaji, uuzaji na matumizi ya pombe zilizofungwa katika mifuko ya plastiki (Viroba).
“Tumefuta usajili wa vibali vya uzalishaji na uingizaji kutoka nje, usambazaji, uuzaji na matumizi ya pombe kali zilizofungashwa katika mifuko ya plastiki (viroba) chini ya ujazo wa milimita 200,” alifafanua Ummy Mwalimu.
Aliendelea kwa kusema kuwa hatua hiyo ni utekelezaji wa tamko la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alilotoa Februari 02, 2017 la kusitisha uzalishaji, uingizaji, usambazaji, uuzaji na matumizi ya pombe hiyo kali kuanzia Machi 01, 2017.
Ummy amesema kuwa usitishaji huo unazingatia kanuni za kukataza uzalishaji, uingizaji na matumizi ya vifungashio vya plastiki kufungashia pombe kali za mwaka 2017 (The Environmental Management (Prohibition of Manufacturing, Important and Use of Plastic Sachets for Packakging Distilled and other alcoholic beverages) Regulations 2017) imekatazwa kutumia vifungashio vya plastiki kufungashia pombe kali. Badala yake wazalishaji watapaswa kufungasha pombe kali hizo katika chupa zenye ujazo usiopungua mililita 200.
Aidha amesema kuwa uamuzi wa kupiga marufuku matumizi ya pombe za aina hiyo unatokana na athari mbalimbali ikiwa ni pamoja na za kiafya na kijamii.
Matumizi mabaya ya pombe hizo yamesababisha  ajali nyingi, vifo, ulemavu na mzigo mkubwa kwa Serikali wa kutoa huduma kwa wahanga wa pombe hizo na ongezeko la makosa ya jinai.
Ummy amesema kwamba Viroba vilivyokamatwa na kuzuiwa vinasubiri maelekezo kutoka ofisi ya Waziri Mkuu namna ya kuviteketeza.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SERIKALI IMEFUTA USAJILI WA VIBALI VYA UZALISHAJI NA UINGIZAJI WA POMBE ZA VIROBA
SERIKALI IMEFUTA USAJILI WA VIBALI VYA UZALISHAJI NA UINGIZAJI WA POMBE ZA VIROBA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihR9CKHYKZx1c8KqkS1q6TziZp5DG2D73t3XUgvyzHWVQ1l-r4FxQ-4KSBYPAd4qY_cqiZJUmu32q8RIG2oyAitKmet02-2dX7iWTZ03_Hbd6M_8uqi-LehJXliLXIUB9WlaEOh5BEVq8/s640/_8.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihR9CKHYKZx1c8KqkS1q6TziZp5DG2D73t3XUgvyzHWVQ1l-r4FxQ-4KSBYPAd4qY_cqiZJUmu32q8RIG2oyAitKmet02-2dX7iWTZ03_Hbd6M_8uqi-LehJXliLXIUB9WlaEOh5BEVq8/s72-c/_8.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/03/serikali-imefuta-usajili-wa-vibali-vya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/serikali-imefuta-usajili-wa-vibali-vya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy