MAANDALIZI YA TAMASHA LA PASAKA LAZIDI KUNOGA,KWAYA YA ULYANKULU, JOHN LISSU, GOSBERT WATANGAZA KUSHIRIKI
HomeJamii

MAANDALIZI YA TAMASHA LA PASAKA LAZIDI KUNOGA,KWAYA YA ULYANKULU, JOHN LISSU, GOSBERT WATANGAZA KUSHIRIKI

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama, akizungumza na waandisi wa habari jijini Dar es Salaam, wakati ...

KAMATI YA KATIBA NA SHERIA YA BUNGE YAKUTANA NA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA NCHINI
NG'UMBI AVISHWA RASMI CHEO CHA BRIGEDIA JENERALI
WAZIRI JAFO:SITAKI UKANJANJA KATIKA UJENZI WA STENDI YA MABASI MBEZI LUIS

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama, akizungumza na waandisi wa habari jijini Dar es Salaam, wakati akitangaza waimbaji waliodhibitisha kushiriki katika tamasha hilo. 

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama, akizungumza na waandisi wa habari jijini Dar es Salaam, wakati akitangaza waimbaji waliodhibitisha kushiriki katika tamasha hilo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama, akizungumza na waandisi wa habari jijini Dar es Salaam , wakati akitangaza waimbaji waliodhibitisha kushiriki katika tamasha hilo.

WAIMBAJI wa muziki wa injili wamezidi kumiminika kuthibitisha ushiriki wao katika Tamsha la Pasaka litakalozinduliwa April 16 katika Uwanja wa Uhuru, jiji Dar es Salaam kabla ya kuhamia mikoa mingine mitano kuutangaza ufalme wa Mungu na malengo yake mengine ya uwepo wake.

Akizungumza jijini jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya Tamasha hilo linalofanyika mara ya 17, Alex Msama, alisema ni faraja kwao kuona waimbaji mahiri wakizidi kuthibitisha tukio hilo litakalowaleta na nyota wa ndani na nje ya nchi.

Msama amewataja waimbaji wengine wapya ni Goodluck Gosbert anayetamba na kibao cha Ubarikiwe, John Lissu, Kwaya ya Ulyankulu, moja ya kwaya kongwe na maarufu iliyowahi kutamba na vyimbo nyingi zenye ujumbe kamili wa neno la Mungu ukiwemo ‘Kwa viumbe Vyote’ unaotikisa hadi sasa.

‘Tunashukuru sana kwani waimbaji wamezidi kuthibitisha kuashiria kuwa maandalizi ndiyo yameshika kasi na wapenzi na mashabiki wa muziki wa injili, wakae mkao wa kupokea Baraka za Mungu kupitia ujumbe wa nyimbo,’ alisema Msama.

Alisema katika uzinduzi wa tamasha hilo utakaofanyika Uwanja wa Uhuru, utakwenda sambamba na uzinduzi wa albamu ya Kinondoni Revival Kwaya pamoja na kazi albamu mpya ya malkia wa nyimbo za injili nchini na Afrika Mashariki na Kati, Rose Muhando.

“Uzinduzi wa Tamasha la Pasaka April 16 katika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, utakuwa wa aina yake kwa sababu kutakuwa na uzinduzi wa albamu mpya mbili; moja ya Kinondoni Revival Kwaya na nyingine Ruthu ya Rose Muhando,” alisema Msama aliyechangia kwa kiasi kikubwa kukuza muziki wa injili kupitia matamasha.

Kuhusu mikoa ambayo Tamasha hilo litapita, Msama alisema baada ya kuzinduliwa jijini Dar es Salaam, mashambulizi yatahamia mjini Dodoma, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na kumaliza kazi hiyo mkoani Iringa kwa mwaka huu na kuwataka wadau wa muziki wa injili kuwa tayari kupokea Baraka.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAANDALIZI YA TAMASHA LA PASAKA LAZIDI KUNOGA,KWAYA YA ULYANKULU, JOHN LISSU, GOSBERT WATANGAZA KUSHIRIKI
MAANDALIZI YA TAMASHA LA PASAKA LAZIDI KUNOGA,KWAYA YA ULYANKULU, JOHN LISSU, GOSBERT WATANGAZA KUSHIRIKI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJ1bxHYqcMm5vvv63j8sSS7v7oMP2MyQmOOrU1bvPwpVgibWdoXCDb5MAf1icAqxlUVygRyA9U46DRA_UQ7LQcorIzKrB0fKYSh5eIKvV2uLvL0yfOpuZPJbITLKNO9CY_cFF-R_xRJ_s/s640/IMG_9727.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJ1bxHYqcMm5vvv63j8sSS7v7oMP2MyQmOOrU1bvPwpVgibWdoXCDb5MAf1icAqxlUVygRyA9U46DRA_UQ7LQcorIzKrB0fKYSh5eIKvV2uLvL0yfOpuZPJbITLKNO9CY_cFF-R_xRJ_s/s72-c/IMG_9727.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/03/maandalizi-ya-tamasha-la-pasaka-lazidi.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/maandalizi-ya-tamasha-la-pasaka-lazidi.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy