WAANDISHI WA HABARI WAPATA SEMINA KUHUSU MAHINDI YA GMO NA MATUMIZI YA BIOTEKNOLOJIA KATIKA KILIMO
HomeJamii

WAANDISHI WA HABARI WAPATA SEMINA KUHUSU MAHINDI YA GMO NA MATUMIZI YA BIOTEKNOLOJIA KATIKA KILIMO

  Mshauri mstaafu wa Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania (OFAM), Dk.Nicholas Nyange, akitoa mada kwa waandishi wa habari kuhusu matumizi y...

UBALOZI WA MAREKANI WATOA MAFUNZO YA UANDISHI WA HABARI KWA WANAMITANDAO
TANAPA YAWAPA MAFUNZO YA UANDISHI WA HABARI NA UPIGAJI PICHA WAHIFADHI UJIRANI MWEMA NCHINI
TANZANIA YATILIANA SAINI NA MFUKO WA MAENDELEO KIUCHUMI WA KUWAIT


 Mshauri mstaafu wa Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania (OFAM), Dk.Nicholas Nyange, akitoa mada kwa waandishi wa habari kuhusu matumizi ya Bioteknolojia katika matumizi ya kilimo walipotembelea kituo cha utafiti wa kilimo cha Makutupora mkoani Dodoma.
 Mshauri mstaafu wa mradi wa kuzalisha mahindi yanayostahimili ukame kupitia mradi wa Wema, Dk. Alois Kullaya akitoa mada kuhusu mahindi hayo yanayotokana na teknolojia uhandisi jeni (GMO) kuhusu mafanikio ya mradi huo na changamoto zake.
 Wanahabari wakiwa nje ya lango kuu la kuingia katika shamba la majaribio la mahindi yaliyotokana na teknolojia ya GMO la Makutupora mkoani Dodoma wakisubiri taratibu za kuingia kwenye shamba hilo.
 Mtafiti Ismail Ngolinda wa Kituo hicho (kushoto), akitoa maelekezo kwa wanahabari kabla ya kuingia katika shamba hilo la majaribio.(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com)
  Mtafiti Ismail Ngolinda akiwaonesha wanahabari mahindi yaliyooteshwa kutokana na teknolojia hiyo ya GMO.
Wanahabari kutoka mikoa 7 wakiwa katika picha ya pamoja na watafiti wa kilimo mbele ya shamba hilo.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAANDISHI WA HABARI WAPATA SEMINA KUHUSU MAHINDI YA GMO NA MATUMIZI YA BIOTEKNOLOJIA KATIKA KILIMO
WAANDISHI WA HABARI WAPATA SEMINA KUHUSU MAHINDI YA GMO NA MATUMIZI YA BIOTEKNOLOJIA KATIKA KILIMO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiSXIy5WK-8Wum_-YgLumjfvC05l7PWR3iCDxLaZj_E0m0I4EURc3ry_UgnQ8Hwybl28CY084xmDJrDq2t6joRhQ-f4GLyIIDecX46tla53QNKFucH8XROuScIM_9GwV0urEC2k5teDJJ_b/s640/1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiSXIy5WK-8Wum_-YgLumjfvC05l7PWR3iCDxLaZj_E0m0I4EURc3ry_UgnQ8Hwybl28CY084xmDJrDq2t6joRhQ-f4GLyIIDecX46tla53QNKFucH8XROuScIM_9GwV0urEC2k5teDJJ_b/s72-c/1.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/waandishi-wa-habari-wapata-semina.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/waandishi-wa-habari-wapata-semina.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy