SIMU KUENDELEA KUMSOTESHA WEMA RUMANDE
HomeJamii

SIMU KUENDELEA KUMSOTESHA WEMA RUMANDE

Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii Matumizi ya simu ya mkononi huku akiwa ameshikiliwa na jeshi la Polisi ni moja ya mambo yali...

KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA SIHABA NKINGA AZINDUA MPANGO WA UHAKIKI WA NGO’S NCHINI.
RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA MAENDELEO LA JAPAN (JICA) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
DREAMS INITIATIVES PROVIDES SAFE SPACE FOR ADOLESCENT GIRLS IN SHINYANGA AIMING AT PREVENTION OF RISKY HIV BEHAVIORS


Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii

Matumizi ya simu ya mkononi huku akiwa ameshikiliwa na jeshi la Polisi ni moja ya mambo yalitajwa mtuhumiwa wa kesi ya Dawa za kulevya Wema Sepetu kuendelea kusota rumande.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Mkoa RC Makonda amesema kuwa, moja ya makosa katika nchi hii ni mtu akiwa yupo chini ya ulinzi halafu kuendelea kutumia simu ya mkononi.

Amesema kuwa mrembo huyo ambaye alikuwa akituma Video na sauti mbalimbali kuhusu hali ya maisha akiwa mahabusu ya kituo cha kati huku akimkejeli mkuu wa mkoa huenda akaendelea kuwa katika wakati mgumu zaidi kutokana na kitendo hicho cha kutumia simu akiwa mahabusu.
Makonda amesema kuwa  amezungumza na wakuu wa Magereza yote yaliyopo Dar es Salaam na wakuu wa mikoa juu ya vitendo vya watu kuingia na simu katika vituo vya Polisi.

Pia amesema kuwa matumizi ya simu hizo watu wakiwa gerezani yamekuwa yakitumika kuendeleza biashara zao za dawa za kulevya kwa njia ya mawasiliano hata kama wakiwa ndani.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SIMU KUENDELEA KUMSOTESHA WEMA RUMANDE
SIMU KUENDELEA KUMSOTESHA WEMA RUMANDE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj2bbjwHPoxNFxSn1zpwzW6W6IokJLtS8LSFSeEf8bFODVmYuJyRHCVKrdZOvKmPTiT0JyZTVpvNhNaKP2-VV1vXmURAKC4c4wopgYC6zkPd9ro4R6qJCdrXCpVXLgzNBUMlZ_sk-AEQG4/s400/wema_sepetu_10.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj2bbjwHPoxNFxSn1zpwzW6W6IokJLtS8LSFSeEf8bFODVmYuJyRHCVKrdZOvKmPTiT0JyZTVpvNhNaKP2-VV1vXmURAKC4c4wopgYC6zkPd9ro4R6qJCdrXCpVXLgzNBUMlZ_sk-AEQG4/s72-c/wema_sepetu_10.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/simu-kuendelea-kumsotesha-wema-rumande.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/simu-kuendelea-kumsotesha-wema-rumande.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy