RED CROSS YAKABIDHI KADI ZA UANACHAMA IDARA YA MAAFA
HomeJamii

RED CROSS YAKABIDHI KADI ZA UANACHAMA IDARA YA MAAFA

 Rais wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Bw. Mwadini Jecha (katikati) akiweka saini kitabu cha wageni Idara ya Uratibu wa Maaf...

WCF TELLS EMPLOYERS: PAY CONTRIBUTIONS AS PER THE LAW
IGP SIMON SIRRO AANZA KAZI, AZUNGUMZIA MKAKATI WA KUTOKOMEZA MAUAJI KIBITI
WAZIRI MAGHEMBE AFANYA MAZUNGUMZO LEO NA BALOZI WA CHINA NCHINI, DKT. LU YOUQING, MJINI DODOMA
 Rais wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Bw. Mwadini Jecha (katikati) akiweka saini kitabu cha wageni Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu walipotembelea Idara hiyo na kukabidhi Kadi za Uanachama kwa Idara  hiyo, tarehe 16 Februari, 2017.
 
 Mkurugenzi wa Chama Cha Msalaba Mwekundu Tanzania Bw.Renatus Mkaruka (wa kwanza kulia) akizungumza jambo wakati wa zoezi la kukabidhi kadi za Uanachama wa chama hicho kwa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Februari 16, 2017 katika Ofisi ya Waziri Mkuu Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig.Jenerali Mbazi Msuya (kulia) akipokea kadi ya uanachama wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania kutoka kwa Rais wa Chama hicho Bw. Mwadini Jecha Februari 16, 2017 katika Ofisi za Idara hiyo Dar es Salaam.
Mratibu wa Maafa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Charles Msangi akipokea kadi ya uanachama wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania kutoka kwa Katibu wa chama hicho Bw. Julius Kejo Februari 16, 2017 katika Ofisi za Idara hiyo Dar es Salaam.
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: RED CROSS YAKABIDHI KADI ZA UANACHAMA IDARA YA MAAFA
RED CROSS YAKABIDHI KADI ZA UANACHAMA IDARA YA MAAFA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwSfEFcMBbXcjA8ZrV5b82qt3nLTKK1t2kyYZDjKjSX_-Wv3_WjHaVA7-oL89KmHnAvg2griUAFtec4F2KxRE3sObqZmGUqz3C3f-6c8c_L9LTQJLLsTpfwifyHm_8gzqRBB7RK_nRqilN/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwSfEFcMBbXcjA8ZrV5b82qt3nLTKK1t2kyYZDjKjSX_-Wv3_WjHaVA7-oL89KmHnAvg2griUAFtec4F2KxRE3sObqZmGUqz3C3f-6c8c_L9LTQJLLsTpfwifyHm_8gzqRBB7RK_nRqilN/s72-c/1.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/red-cross-yakabidhi-kadi-za-uanachama.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/red-cross-yakabidhi-kadi-za-uanachama.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy