NHC KUJENGA NYUMBA 300 KWA AJILI YA WATUMISI WA UMMA DODOMA
HomeJamii

NHC KUJENGA NYUMBA 300 KWA AJILI YA WATUMISI WA UMMA DODOMA

Na Georgina Misama – MAELEZO. Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limejipanga kumaliza kero ya makazi ya nyumba kwa watanzania ifik...

POLISI YAAGIZA MAKAMANDA WAKE KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO YA DAWA ZA KULEVYA
SIKU YA WAPENDANAO NINI ASILI YAKE!
WANAHABARI WATAKIWA KUACHA KUAMINI KILA KITU, WASOME


Na Georgina Misama – MAELEZO.

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limejipanga kumaliza kero ya makazi ya nyumba kwa watanzania ifikapo mwaka 2025.

Hayo yamesemwa na Meneja Mauzo wa Shirika la Nyumba Tanzania (NHC) Bw. Erasto Chilambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.

Ili kutimiza azma hiyo,Chilambo alibainisha kuwa nyumba zisizopungua elfu 30 zitajengwa kwa ajili ya kuuzwa na kupangishwa ambapo katika nyumba hizo watu wa kipato cha chini, kati na juu ndio walengwa.

“Katika mkakati huu, Shirika limekusudia kujenga nyumba 12000 kwa ajili ya watu wa kipato cha chini, nyumba 13500 kwa ajili ya watu wenye kipato cha kati na nyumba 2700 kwa ajili ya watu wenye kipato cha juu.” Alisema Chilambo.

Aidha, Shirika linajenga majengo 1800 ya kibiashara katika maeneo mbalimbali nchini, ambayo yanatazamiwa kukamilika ifikapo 2025.

“Katika kuunga mkono uamuzi wa serikali wa kuhamia Dodoma, shirika linajenga nyumba za makazi 300 zitakazouzwa kwa watumishi wa Serikali, ambazo zina ukubwa tofauti zenye vyumba 3 kila moja.” Alisema Bwn.Charahani.

Tangu kuanzishwa kwake Shirik la Nyumba limekuwa likimiliki na kuuza majengo mbalimbali. Hivi sasa shirika linamiliki MAJENGO 2483 yenye sehemu 18121 za makazi na biashara katika Mikoa ya Tanzania Bara.
Meneja Mauzo wa Shirika la Taifa la Nyumba (NHC) Bw. Erasto Chilambo akizungumza na waandishi wa Habari Leo Jijini Dar es salaam kuhusu mkakati wa shirika hilo kujenga nyumba 300 zitakazouzwa kwa watumishi wa umma Mkoani Dodoma ili kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa makazi kwa watumishi wanaohamia Mkoani humo na kuunga mkono juhudi za Serikali kuhamia mkoani humo.kushoto ni Afisa Habari wa Shirika hilo Bi Edith Nguruwe.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano wa NHC leo Jijini Dar es Salaam.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: NHC KUJENGA NYUMBA 300 KWA AJILI YA WATUMISI WA UMMA DODOMA
NHC KUJENGA NYUMBA 300 KWA AJILI YA WATUMISI WA UMMA DODOMA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhCmjHIqf3cLmBoIWzBDvXJjdLxfxchOWnrXOVCzQDjHT8Gzs2fETpwwg-5LAMTmw8zaconyLFySm8VzJYV9JBPMMLCTNfqTos_yqYgG3yzglYfDZhI90HYavjlf4QSMPo_WbgpUy1K7g9r/s640/1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhCmjHIqf3cLmBoIWzBDvXJjdLxfxchOWnrXOVCzQDjHT8Gzs2fETpwwg-5LAMTmw8zaconyLFySm8VzJYV9JBPMMLCTNfqTos_yqYgG3yzglYfDZhI90HYavjlf4QSMPo_WbgpUy1K7g9r/s72-c/1.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/nhc-kujenga-nyumba-300-kwa-ajili-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/nhc-kujenga-nyumba-300-kwa-ajili-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy