MAHAKAMA YA TANZANIA KUONGEZA KASI YA USIKILIZAJI WA KESI
HomeJamii

MAHAKAMA YA TANZANIA KUONGEZA KASI YA USIKILIZAJI WA KESI

  Kaimu Jaji  Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahimu Juma akimkabidhi laptop Hakimu  Mkazi wa Mahakama ya Mwanzo Kimara, Mhe. Asia Mj...

SERIKALI YABAINI MBINU MPYA INAYOTUMIWA KUTAKATISHA FEDHA HARAMU KUPITIA MIFUGO INAYOINGIZWA KWENYE MAENEO YA HIFADHI NCHINI – PROF. MAGHEMBE
MHE MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI MKUU WA EWURA NGAMLAGOSI
WAZIRI MKUU APOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA SALFA


 Kaimu Jaji  Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahimu Juma akimkabidhi laptop Hakimu  Mkazi wa Mahakama ya Mwanzo Kimara, Mhe. Asia Mjemah kwa ajili ya uchapishaji nakala za hukumu jana  jijini Dar es Salaam.
 Kaimu Jaji  Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahimu Juma akizungumza katika ufungaji wa maonesho ya wiki ya sheria katika viwanja vya Mnazi  mmoja jana jijini  Dar es Salaam.
 Baadhi ya viongozi mbalimbali na wananchi wakimsikiliza Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahimu Juma katika ufungaji wa maonesho ya wiki ya sheria katika viwanja vya Mnazi  mmoja jana jiji Dar es Salaam
Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa,Ibrahimu Juma akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mblimblia katika viwanja vya Mnazi  mmoja leo jiji Dar es Salaam. Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.
Mahakama kuu ya Tanzania imesema itafanya mpango wa kuongeza kasi ya utoaji wa haki kwa watu wote ikiwemo kupunguza  kesi za zamani katika ngazi zote za mahakama nchini.
Hayo yamesemwa  jijini Dar es Salaam na Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma katika kilele cha maonyesho ya wiki ya sheria, akisisitiza watongeza vitendea kazi na watumishi wa mahakama ili kuwepo na urahisi katika mfumo wa kusikiliza kesi na kuzitolea hukumu.
Akizungumzia baadhi ya malalamiko yaliyotolewa na mmoja wa wananchi Profesa Juma amesema kuwa wamepokea malalamiko juu ya mahakama moja ambayo hakuitaja jina lake ambayo watumishi wake wamekuwa wakitoa lugha chafu,uzembe,kuchelewesha haki,kutumika kama vishoka sambamba na kuongea lugha za jazba hali ambayo ilimkwaza mwananchi huyo.
‘’Natoa rai kwa mahakama kuhakikisha wanatoa takwimu nawakumbusha kwamba kuna waraka wa Jaji Mkuu wa mwaka 2013  ambao aliwataka Majaji wafawidhi,Majaji wafawidhi na watendaji kuona kila baada ya miezi mitatu kuanzia Julai 2013 kuwasilisha mashauri ya  muda mrefu’’. amesema Profesa Juma.
 Pia ametoa rai kwa wadau wote kuendeleza yale mazuri yaliyojitokeza katika wiki ya huduma za kisheria katika viwanja vya mnazi mmoja ikiwemo kusikiliza kero za kisheria zinazowakabili wananchi hata watakapofika katika ofisi za
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAHAKAMA YA TANZANIA KUONGEZA KASI YA USIKILIZAJI WA KESI
MAHAKAMA YA TANZANIA KUONGEZA KASI YA USIKILIZAJI WA KESI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgtVd2NDbsLq-h_XSRE3bdaTbk7VwnVMxORrv7xJRK1AVGzwUpaeYh4D6VH_zDFRyUr_WpKJywJzXjIV-k7KgqxZNy_S6qYGvp29_PXe1WqRlPFPqXRWf7kJXt5ob4VfzfaWdpBW4dzrVQ/s640/unnamed+%252881%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgtVd2NDbsLq-h_XSRE3bdaTbk7VwnVMxORrv7xJRK1AVGzwUpaeYh4D6VH_zDFRyUr_WpKJywJzXjIV-k7KgqxZNy_S6qYGvp29_PXe1WqRlPFPqXRWf7kJXt5ob4VfzfaWdpBW4dzrVQ/s72-c/unnamed+%252881%2529.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/mahakama-ya-tanzania-kuongeza-kasi-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/mahakama-ya-tanzania-kuongeza-kasi-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy