JALADA LA WEMA SEPETU LIKO KWA MWANASHERIA WA SERIKALI-KAMANDA SIRRO
HomeJamii

JALADA LA WEMA SEPETU LIKO KWA MWANASHERIA WA SERIKALI-KAMANDA SIRRO

Na Anthony John, Globu ya Jamii Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema Jalada la kesi ya kukutwa na bangi Ms...

RAIS SHEIN AKUTANA NA UJUMBE WA CHAMA CHA KIKOMONISTI CHA CHINA LEO
WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, DKT. PHILIP MPANGO AIPONGEZA PPF KWA KUWEKEZA KWENYE VIWANDA
WAZIRI MBARAWA AITAKA BODI YA WABUNIFU MAJENGO NA WAKADILIAJI MAJENZI KUJITANUA ZAIDI


Na Anthony John, Globu ya Jamii

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema Jalada la kesi ya kukutwa na bangi Msanii maarufu na Mlimbwende , Wema Sepetu bado linapitiwa na Mwanasheria wa Serikali na baada ya kukamilika kwa upelelezi atapelekwa mahakamani.

Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina wa Jeshi la Polisi Simon Sirro amesema jeshi la polisi limeshafanya kazi yake hivyo taratibu za kisheria za kesi ya Msanii huyo zinaandaliwa kwa ajili ya kumfikisha mahakamani.

Amesema katika mapambano ya dawa kulevya, wananchi na raia wema wameaswa kuacha kutoa habari za uvunjifu wa amani katika mkoa wa Dar es salaam,badala yake wajikite kutoa taarifa zilizokuwa za kweli.

"Unapotoa taarifa ambazo si za kweli haumdanganyi kamishina Sirro, unakuwa unalidanganya Jeshi la polisi ,kwa ujumla naomba raia wema waendelee kutoa taarifa lakini watoe taarifa za uhakika"amesema Sirro.

Pia Siro ameongeza kuwa Jeshi la polisi limejipanga vizuri kwa kuwapokea watakao fika siku ya ijumaa lakini kikubwa wafike waje waripoti.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: JALADA LA WEMA SEPETU LIKO KWA MWANASHERIA WA SERIKALI-KAMANDA SIRRO
JALADA LA WEMA SEPETU LIKO KWA MWANASHERIA WA SERIKALI-KAMANDA SIRRO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjyDgpuwSYLH82HpN_iEWCtIYdyZaE5X7LP6xcJo94TiziQp0tZnhqu6XXefPOYO3PMPpt0oBU6BU8Z5HlqDQWlIyXRtzDPenphHIojQkLL89xKxq6tfr1JmrcdAZuMXyBZXYLQmR08HnE/s400/unnamed+%25281%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjyDgpuwSYLH82HpN_iEWCtIYdyZaE5X7LP6xcJo94TiziQp0tZnhqu6XXefPOYO3PMPpt0oBU6BU8Z5HlqDQWlIyXRtzDPenphHIojQkLL89xKxq6tfr1JmrcdAZuMXyBZXYLQmR08HnE/s72-c/unnamed+%25281%2529.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/jalada-la-wema-sepetu-liko-kwa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/jalada-la-wema-sepetu-liko-kwa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy