ZIARA YA MSIMAMIZI WA CADESE KATIKA MRADI WA UMEME JUA WA MAJARIBIO, HOSPITALI YA WILAYA NYAMAGANA, MWANZA

Mratibu wa Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kushoto mbele) akimwongoza Msimami...





Mratibu wa Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kushoto mbele) akimwongoza Msimamizi wa Mradi wa Kuwajengea Uwezo Wataalam wa Nishati na Tasnia ya Uziduaji (CADESE), Paul Kiwele (kulia mbele) pamoja na wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini katika ziara kwenye mradi huo.
Mratibu wa Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kulia) akielezea mfumo wa kuongozea vifaa vya umeme jua katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana.
Mratibu wa Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kushoto) akionesha mita maalum ya kuruhusu umeme kuingia na kutoka kwenye Gridi ya Taifa.
Mratibu wa Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah ( wa pili kutoka kulia) akionesha karabai zinazotumia umeme jua zilizotolewa na mradi huo kwa wavuvi wa soko la samaki la Mwaloni jijini Mwanza.
Mmoja wa wavuvi katika soko la samaki la Mwaloni jijini Mwanza, Joseph Athony (kushoto) akielezea manufaa ya karabai zinazotumia umeme jua zilizotolewa na Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio.

Sehemu ya wodi za wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana iliyofungwa umeme jua.
Mratibu wa Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah, (kulia) akielezea maendeleo ya mradi huo kwa Msimamizi wa Mradi wa Kuwajengea Uwezo Wataalam wa Nishati na Tasnia ya Uziduaji (CADESE), Paul Kiwele ( wa pili kutoka kulia). Wengine ni  wataalam kutoka Sehemu ya Nishati Jadidifu, Wizara ya Nishati na Madini.
Mratibu wa Mradi wa Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kulia) akieleza jambo kwa Mtaalam kutoka Sehemu ya Nishati Jadidifu- Idara ya Nishati, Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Stephan Kashushura (katikati). Kushoto ni Nasra Mohamed kutoka  Wizara hiyo.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: ZIARA YA MSIMAMIZI WA CADESE KATIKA MRADI WA UMEME JUA WA MAJARIBIO, HOSPITALI YA WILAYA NYAMAGANA, MWANZA
ZIARA YA MSIMAMIZI WA CADESE KATIKA MRADI WA UMEME JUA WA MAJARIBIO, HOSPITALI YA WILAYA NYAMAGANA, MWANZA
https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEhVww0fGm1etvZnsFeIq2FY6Ji-iq7-bIl8i-uCP9HTV1oM2mY2G0z5CGH2OCq-Gvsukrp-nsOVbGgbseXYh1BgqhbgrvUfFlF8zOQSSViVGx2oGGUToieiqibzxa-jKSV_JyJhwZjFKe4ZnVq-mLG-QgD1WN0z1HkKNXovHacpL6W6PFGK=s0-d
https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEhVww0fGm1etvZnsFeIq2FY6Ji-iq7-bIl8i-uCP9HTV1oM2mY2G0z5CGH2OCq-Gvsukrp-nsOVbGgbseXYh1BgqhbgrvUfFlF8zOQSSViVGx2oGGUToieiqibzxa-jKSV_JyJhwZjFKe4ZnVq-mLG-QgD1WN0z1HkKNXovHacpL6W6PFGK=s72-c-d
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/ziara-ya-msimamizi-wa-cadese-katika.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/ziara-ya-msimamizi-wa-cadese-katika.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy