Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye akizungumza na uongozi na baadhi ya wafanyakazi wa Mli...
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye akizungumza na uongozi na baadhi ya wafanyakazi wa Clouds Media
group wakati alipofanya ziara kujionea utendaji kazi wake na changamoto
wanazozipata katika kutekeleza majukumu yao. Kulia kwake, ni Mkurugenzi
wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiangalia
jinsi habari zinavyoandaliwa wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo
vya habari kwenye studio za Azm TV
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses
Nnauye akiangalia sehemu mbalimbali za studio za Mlimani Tv na Redio iliyo
chini ya Mlimani Media wakati alipofanya ziara kujionea utendaji kazi wake na
changamoto wanazozipata katika kutekeleza majukumu yao.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses
Nnauye akiangalia sehemu mbalimbali za studio za Mlimani Tv na Redio iliyo
chini ya Mlimani Media wakati alipofanya ziara kujionea utendaji kazi wake na
changamoto wanazozipata katika kutekeleza majukumu yao.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye akiangalia sehemu mbalimbali za studio za Azam Tv na Redio iliyo
chini ya Uhuru Production wakati alipofanya ziara kujionea utendaji kazi wake
na changamoto wanazozipata katika kutekeleza majukumu yao.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye akiangalia sehemu mbalimbali za studio za Azam Tv na Redio iliyo
chini ya Uhuru Production wakati alipofanya ziara kujionea utendaji kazi wake
na changamoto wanazozipata katika kutekeleza majukumu yao.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye akiangalia sehemu mbalimbali za studio za Azam Tv na Redio iliyo
chini ya Uhuru Production wakati alipofanya ziara kujionea utendaji kazi wake
na changamoto wanazozipata katika kutekeleza majukumu yao.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye akiangalia sehemu mbalimbali za studio za Azam Tv na Redio iliyo
chini ya Uhuru Production wakati alipofanya ziara kujionea utendaji kazi wake
na changamoto wanazozipata katika kutekeleza majukumu yao.
COMMENTS