WAJUMBE WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) WAKAGUA MRADI WA UMEME KIJIJI CHA NYIGO IRINGA

  Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali ( PAC) wakikagua utekelezaji wa Mradi wa Umeme katika kijiji cha Nyi...

 
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali ( PAC) wakikagua utekelezaji wa Mradi wa Umeme katika kijiji cha Nyigo, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Kamati hiyo inaongozwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani pamoja na Watendaji kutoka Wakala ya Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme nchini ( Tanesco).
 
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali,( PAC) wakimsikiliza Meneja wa Tanesco Mufindi, wakati wa ziara ya kukagua utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini. Kamati PAC imeambatana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani pamoja na watendaji kutoka Wakala ya Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme nchini (Tanesco)
Jengo lenye moja ya mashine za kusaga na kukoboa nafaka katika kijiji cha Nyigo, Mufindi mkoani Iringa inayotumia umeme baada ya kuunganishwa na Mradi wa Umeme Vijijini.
 
Mwenyekiti wa Shirika lisilo la kiserikali linalohusika na utunzaji wa mazingira, Mufindi Environmental Trust ( MUET), Godfrey Mosha akiwaonyesha Transfoma (haipo pichani) Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani. MUET imeunganishwa na huduma ya umeme, kupitia mradi wa umeme vijijini ili kuendesha kituo cha kupumzikia wasafiri.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAJUMBE WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) WAKAGUA MRADI WA UMEME KIJIJI CHA NYIGO IRINGA
WAJUMBE WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) WAKAGUA MRADI WA UMEME KIJIJI CHA NYIGO IRINGA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgNJLM9WrMVUuM1vZRyAHow-EahrTy1QhrlpfSvzDPAC72uP889QSl6gAd9SjNOV7Qg2WLpOYBFMRqBRGZOkZpMazeWKV9E_fMtvGxuyUoGKG00pnHAo8vIUyTFhNtKnFtYAQCHyn_bc5s/s640/AQZ.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgNJLM9WrMVUuM1vZRyAHow-EahrTy1QhrlpfSvzDPAC72uP889QSl6gAd9SjNOV7Qg2WLpOYBFMRqBRGZOkZpMazeWKV9E_fMtvGxuyUoGKG00pnHAo8vIUyTFhNtKnFtYAQCHyn_bc5s/s72-c/AQZ.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/wajumbe-wa-kamati-ya-kudumu-ya-bunge-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/wajumbe-wa-kamati-ya-kudumu-ya-bunge-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy