UKAGUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI WILAYA YA ILEJE KAMATI YA PAC
HomeJamii

UKAGUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI WILAYA YA ILEJE KAMATI YA PAC

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Chiku Galawa akizungumza mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ...

WAZIRI DK. KIGWANGALLA AFUNGUA WARSHA YA KITAIFA YA MAPITIO YA RASIMU YA SERA YA TAIFA YA UTALII YA MWAKA 2018
KAMISHNA MKUU WA TRA ATEMBELEWA NA BALOZI WA SERIKALI YA JAMHURI YA KOREA KUSINI NCHINI TANZANIA
WANAFUNZI WA AFYA YA JAMII MUHAS WASHINDA RUZUKU YA UTAFITI WA TB


 UKAGUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI WILAYA YA ILEJE KAMATI YA PAC
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Chiku Galawa akizungumza mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) pale kamati hiyo ilipofanya ziara ya kukagua miradi ya Umeme Songwe Vijijini, katika Kikao kilichofanyika jana katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mjini Songwe.
 
Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. Livingstone Lusinde akifafanua jambo mbele ya Wajumbe wa Kamati hiyo, pale walipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya wa Ileje tayari ya kwenda kukagua Mradi wa Umeme uliopo kijijini hapo, Kushoto wake ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Dkt. Medard Kalemani na Kulia kwake ni Katibu Kamati wa Bunge anaehusika na Hesabu za Serikali (PAC) Ndg. Asmin Kihemba na anaefuata ni Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mhe. Joseph Mkude. katika kikao kilichofanyika jana katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya wa Ileje Mkoani Songwe.
 
Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mhe. Joseph M. Mkude akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) pale kamati hiyo ilipomtembelea Ofisi kwake tayari kwa Ukaguzi wa mradi wa umeme katika moja ya kijiji kilichopo Wilaya ya Ileje, Katika kikao kilichofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) walipotembelea na Kukagua Mradi wa Umeme uliopo moja ya kijiji kilichopo Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe. (PICHA NA OFISI YA BUNGE).
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: UKAGUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI WILAYA YA ILEJE KAMATI YA PAC
UKAGUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI WILAYA YA ILEJE KAMATI YA PAC
https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEjY_97g8x11tvt5KOmCnKUzhJ66cyURF_Hb2npEGM7GbvRmxOKlu4f1NVozC-S3ZRxLZBqxz0etilUyKBFNtpIuNmAF_FCqMaGWpbuF-7E6ekxa95o8Revbp_VuS1eL4uhJyCKxcNwgEYEXBxuPfh5POJ2y5l4jUMCj5Tg2UzmS5f3zvQ=
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/ukaguzi-wa-mradi-wa-umeme-vijijini.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/ukaguzi-wa-mradi-wa-umeme-vijijini.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy