TAASISI YA MOYO YAPATA WAGENI KUTOKA VYUO VIKUU VYA WITWATERSRAND NCHINI AFRIKA YA KUSINI NA MINESSOTA NCHINI MAREKANI

Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akielezea jinsi upasuaji wa Magonjwa ya Moyo unavyofany...


Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akielezea jinsi upasuaji wa Magonjwa ya Moyo unavyofanyika katika taasisi hiyo wakati wageni kutoka Chuo kikuu cha Witwatersrand cha Nchini Afrika ya Kusini walipotembelea wodi aliyokuwa amelazwa mmoja wa wagonjwa aliyefanyiwa upasuaji. Kutoka kulia ni Prof. Martin Valler, akifuatiwa na Afisa Muuguzi Roger Kibula, watatu kulia ni Prof. Simon Nemutandani na wa pili kushoto ni Dkt. Marion Bergman.
 
 
Daktari bingwa wa Magonjwa ya Moyo na Mhadhili kutoka chuo Kikuu kishiriki cha Sayansi na Tiba Muhimbili (MUHAS) Prof. Johnson Rwakatare akimuonyesha vipimo vya moyo (ECHO) Prof. Martin Valler Mkuu wa Kitivo cha Sayansi ya Afya wa Chuo kikuu cha Witwatersrand cha Nchini Afrika ya Kusini alipotembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete hivi karibuni.
 
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiwaeleza wataalamu wa afya kutoka Chuo Kikuu cha Minnesota cha nchini Marekani huduma za matibabu ya moyo wanazozitoa wakati walipoitembelea Taasisi hiyo hivi karibuni. Picha na Anna Nkinda - JKCI.
 
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiwaonyesha wageni kutoka Chuo kikuu cha Witwatersrand cha Nchini Afrika ya Kusini sehemu ya malipo ambapo wagonjwa wanalipia huduma. Wageni hao walitembelea Taasisi hiyo hivi karibuni ili kuona huduma za matibabu ya moyo wanazozifanya pia waliahidi kuimarisha mahusiano kati yao hii ikiwa ni pamoja na kutoa ufadhili wa masomo kwa madaktari wataokwenda kusoma katika chuo hicho.
 
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi na Prof. Martin Valler Mkuu wa Kitivo cha Sayansi ya Afya wa Chuo kikuu cha Witwatersrand cha Nchini Afrika ya Kusini wakiangalia jinsi upasuaji wa bila kufungua kifua (Catheterization) unavyofanyika katika chumba Cath Lab kilichopo katika Taasisi hiyo.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TAASISI YA MOYO YAPATA WAGENI KUTOKA VYUO VIKUU VYA WITWATERSRAND NCHINI AFRIKA YA KUSINI NA MINESSOTA NCHINI MAREKANI
TAASISI YA MOYO YAPATA WAGENI KUTOKA VYUO VIKUU VYA WITWATERSRAND NCHINI AFRIKA YA KUSINI NA MINESSOTA NCHINI MAREKANI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvyP7oSInwUeN3v59Xt8X01VGwD7hsY7jdmT32MfG65as_svhLxKtuhX_nIk3jRR47OJO0PD5mPZ19vpuJRoL_BjUJRPr705PMp6NaE97lAdExXYnmI6PtyBcZiobsOBt0ZbdAbvDH4uQ/s640/Picha+no.+3.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvyP7oSInwUeN3v59Xt8X01VGwD7hsY7jdmT32MfG65as_svhLxKtuhX_nIk3jRR47OJO0PD5mPZ19vpuJRoL_BjUJRPr705PMp6NaE97lAdExXYnmI6PtyBcZiobsOBt0ZbdAbvDH4uQ/s72-c/Picha+no.+3.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/taasisi-ya-moyo-yapata-wageni-kutoka.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/taasisi-ya-moyo-yapata-wageni-kutoka.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy