MMILIKI MWENZA WA JAMII FORUM APANDISHWA KIZIMBANI
HomeJamii

MMILIKI MWENZA WA JAMII FORUM APANDISHWA KIZIMBANI

Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii Mmiliki mwenza wa kampuni ya Jamii Media, Mike Mushi amefikishwa katika mahakama ya haki...

RAIS MAGUFULI AMEWATAKA WATANZANIA KULINDA MIUNDOMBINU YA BARABARA ZA JUU
ZOEZI LA UBOMOAJI WA MAJENGO YALIYOMO KATIKA HIFADHI YA RELI KUENDELEA NCHINI KOTE
MBUNGE MSTAAFU ABBAS MTEMVU AFUNGUA MKUTANO WA VICOBA NA BENKI YA KIISLAMU YA AMANA PTA DAR ES SALAAM


Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii
Mmiliki mwenza wa kampuni ya Jamii Media, Mike Mushi amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu na kuunganishwa katika mashtaka yaleyale yanayomkabili mkurugenzi wa kampuni hiyo, Maxence Melo.

Washtakiwa wote wawili walisomewa mashtaka mbele ya hakimu mkazi mkuu, Thomas Simba na Hakimu mkazi mkuu, Godfrey Mwambapa.

Wakili wa serikali, Mohamed Salum alisema kuwa washtakiwa hao wakiwa eneo la mikocheni kwa nafasi zao wakijua jeshi la polisi linafanya uchunguzi wa mawasiliano kwa njia ya mtandao kufuatia chapisho lililochapishwa katika tovuti yao na waliamua kushindwakutoa ushirikiano kwa Jeshi la polisi kwa kuwanyima data walizonazo.

Hata hivyo upelelezi wa kesi hizo mbili umekamilika na washtakiwa wote hawa watasomewa mashataka yao kuanzia Februari 9 na Februari 20.
Mpaka sasa washtakiwa wote wawili wapo nje kwa dhamana kwa masharti ya bondi ya Milioni 10 kwa kila kosa na masharti ya kutosafiri nje ya nchi.

 Maxence Melo akijaribu kumueleza jambo mmiliki mwenza wa Jamii Forum Mike mushi ndani ya chumba cha Mahakama
 Maxence Melo na Mike Mushi wakimsikiliza wakili wao
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MMILIKI MWENZA WA JAMII FORUM APANDISHWA KIZIMBANI
MMILIKI MWENZA WA JAMII FORUM APANDISHWA KIZIMBANI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi1De00TgiGMhWv0mYFEQTbleJpcQCj6jz5n-7pjdO9xuBSYhK-WdV-Iy5MgPWmVx_6nN20U5CD-pRG43cBuwM8EY5iPYCXfKjahLOVg1RJvMDwlc0H3aGDg67XqkszWbeh-aKg4lTAcc09/s640/DSC_0742.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi1De00TgiGMhWv0mYFEQTbleJpcQCj6jz5n-7pjdO9xuBSYhK-WdV-Iy5MgPWmVx_6nN20U5CD-pRG43cBuwM8EY5iPYCXfKjahLOVg1RJvMDwlc0H3aGDg67XqkszWbeh-aKg4lTAcc09/s72-c/DSC_0742.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/mmiliki-mwenza-wa-jamii-forum.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/mmiliki-mwenza-wa-jamii-forum.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy