MKAPA, MWINYI KUONGOZA MATEMBEZI YA “WALK FOR ELPHANT DAR ES SALAAM 2017”
HomeJamii

MKAPA, MWINYI KUONGOZA MATEMBEZI YA “WALK FOR ELPHANT DAR ES SALAAM 2017”

Katibu Mkuu wa Chama cha Tanzania-China Friendship Promotion Association Bw.Joseph kahama akiongea na waandishi wa habari (hawa...

VYOMBO VYA HABARI VYAHIMIZWA KUWA NA WATUMISHI WA KUTOSHA MKOANI DODOMA
FURSA NYINGINE YA SCHOLARSHIP YAJA: SHULE ZA SEKONDARI ZATAKIWA KUTUMA MAOMBI SASA KUSHIRIKI MAONYESHO YA SAYANSI YA YST 2018!
AGAPE YAKABIDHI BAISKELI KWA VIJANA 15 WALIOHITIMU MAFUNZO YA HISA SHINYANG


Katibu Mkuu wa Chama cha Tanzania-China Friendship Promotion Association Bw.Joseph kahama akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya matembezi ya kupinga ujangili wa Tembo (Walk for Elephant 2017) yatakayofanyika kesho asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi kuanzia Ubalozi wa China mpaka Hoteli ya Sea Cliff.Kushoto kwake ni Hongxiang Huang kutoa China House.
Katibu Mkuu wa Chama cha Tanzania-China Friendship Promotion Association Bw.Joseph kahama akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya matembezi ya kupinga ujangili wa Tembo (Walk for Elephant 2017) yatakayofanyika kesho asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi kuanzia Ubalozi wa China mpaka Hoteli ya Sea Cliff.
Katibu Mkuu wa Chama cha Tanzania-China Friendship Promotion Association Bw.Joseph kahama akionyesha tangazo lenye ujumbe wa kuhimiza matembezi ya ku kupinga ujangili wa Tembo (Walk for Elephant 2017) yatakayofanyika kesho asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi kuanzia Ubalozi wa China mpaka Hoteli ya Sea Cliff. Kushoto kwake ni Hongxiang Huang kutoa China House.Picha na Daudi Manongi-MAELEZO.

Na Frank Shija-MAELEZO.

MKAPA kuongoza matembezi ya hiari ya kilomita tano yanayojulikana kama Walk for Elephant Dar es Salaam 2017yatayofanyika kesho kuanzaia saa 12 asubuhi yaikianzia Ubalozi wa China hadi Sea Cliff Hotel.

Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Urafiki baina ya Tanzania na China (TCFPA) Joseph Kahama alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kuhusiana na matembezi hayo leo jijini Dar es Salaam.

Kahama amesema kuwa yana lengo la kuonyesha umoja katika kupinga ujangili unaofanywa dhidi ya Tembo.

“Tunatarajia kuwa na matembezi ya kwa ajili ya kupinga ujangili dhidi ya Tembo ambapo wageni wetu mashuhuri wanatarajiwa kuwa Marais wastaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi na Mzee Mkapa atakayepokea matembezi hayo katika Hotel ya Sea Cliff,” alisema Kahama.

Aliongeza kuwa zaidi ya watu 550 wamethibitisha kushiriki katika matembezi hayo wakiwemo baadhi ya watu maarufu kama vile Jokate Mwigelo, Mrisho Mpoto na wasanii wengine.

Aidha Katibu Mkuu huyo alisema kuwa Chama cha Urafiki baina ya Tanzania na China(TCFPA) imeanzishwa kwa nia ya kudumisha urafiki na uhusiano baina ya raia wa nchini hizo mbili.

Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua ni kwanin china imeamua kusaidia katika vita dhidi ya ujangili ili hali inatajwa kuwa miongoni mwa soko kubwa la bidhaa za meno ya Tembo, Kahama alisema kuwa Serikali ya China haiku tayari kuona nchi yake inatajwa kama soko la meno ya Tembo ndiyo maana Rais Xi Jinping wa China na Barrack Obama wa Marekani wamewahi kutoa tamko la pamoja la kupinga ujangili na ni kosa la jina kwa rai wa China kukamatwa na nyara hizo.

Chama hicho kimekusudia kuifanya tarehe 14 mwezi wa kwanza kila mwaka kuwa siku ya matembezi ya Walk for Elphant Dar es Salaam 2017 ili kujenga utamaduni endelevu wa kupinga ujangili.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MKAPA, MWINYI KUONGOZA MATEMBEZI YA “WALK FOR ELPHANT DAR ES SALAAM 2017”
MKAPA, MWINYI KUONGOZA MATEMBEZI YA “WALK FOR ELPHANT DAR ES SALAAM 2017”
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2-LVu53y1kByCQq5HmPCz-7e3G9GJu09A1zCRIOkUqeGUOKx5wAaNfxcXoIDR47Eq8CfVzaYGshrzL_71AXM48bL_VRlUjJEUO4Zg1Z0hOxMAaUG7KHmGR1ZxmznewlmdPW_LZC4PZeM/s640/UYE.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2-LVu53y1kByCQq5HmPCz-7e3G9GJu09A1zCRIOkUqeGUOKx5wAaNfxcXoIDR47Eq8CfVzaYGshrzL_71AXM48bL_VRlUjJEUO4Zg1Z0hOxMAaUG7KHmGR1ZxmznewlmdPW_LZC4PZeM/s72-c/UYE.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/mkapa-mwinyi-kuongoza-matembezi-ya-walk.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/mkapa-mwinyi-kuongoza-matembezi-ya-walk.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy