Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya CCM na MNEC Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (MB) akingalia burudani ya ngoma ya Mganda ambayo ilikuw...
Mjumbe
wa Halimashauri Kuu ya CCM na MNEC Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (MB)
akingalia burudani ya ngoma ya Mganda ambayo ilikuwa imeandaliwa kwa
ajili ya kumkaribisha katika ofisi ya CCM Mkoa wa Ruvuma kwa ajili ya
kuzungumza na Viongozi wa CCM Mkoa wa Ruvuma.
Mjumbe
wa Halimashauri Kuu ya CCMna MNEC Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
(MB)amemkabidhi kadi ya CCM Bwana Musa Ndomba ambaye amerudi CCM mwanzo
alikuwa mwana chama wa Chadema na Diwani wa Kata ya Tanga manispa ya
songea na mwenyekiti wa wawanafunzi katika chuo kikuu cha mtakatifu John
kilichopo Songea shughuli hiyo imefanyika katika ukumbi wa ccm mkoa wa
Ruvuma.
Mjumbe
wa Halimashauri Kuu ya CCMna MNEC Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
(MB)akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya CCM Mkoa wa Ruvuma
wakatialipofika hapo kwa ajili ya kuongea na viongozi wa ccm mkoa wa
Ruvuma kushoto ni Mwenyekiti CCM mkoa wa Ruvuma Bwana Oddo Mwisho na
anaye fuatia ni katibu wa CCM Mkoa wa Ruvuma Verena Shumbusho.
Mjumbe
wa Halimashauri Kuu ya CCM na MNEC Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
(MB)akizungzumza na viongozi wa CCM mkoa wa Ruvuma katika ukumbi wa CCM
Mkoani Ruvuma.
Waziri Mkuu yupo mkoani Ruvuma kwa ziara ya kikazi
(Picha na Chris Mfinanga)
COMMENTS