MAHAFALI YA 32 YA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI (NIT).

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Profesa Makame Mbarawa(aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na...


Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Profesa Makame Mbarawa(aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wahitimu wa kozi mbalimbali toka chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) mara baada ya kuwatunuku Stashahada ya Uzamili, Shahada, Stashahada na Astashahada wahitimu hao leo 28/01/2017 jijini Dar es Salaam.(PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA-WHUSM).

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Profesa Makame Mbarawa (kushoto) akiteta jambo na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Mhandisi. Profesa Zacharia Mganilwa wakati wa mahafali ya 32 ya chuo hicho yaliyofanyika leo 28/01/2017 chuoni hapo jijini Dar es Salaam.


Wahitimu pamoja na Viongozi mbaimbali wakiwa katika maandamano kuelekea viwanja vya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kwa ajili ya kumpokea mgeni rasmi na shughuli ya mahafali kuanza chuoni hapo leo 27/01/2017 jijini Dar es Salaam.



Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Profesa Makame Mbarawa (katikati) akiwa ameongozana na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Mhandisi. Profesa Zacharia Mganilwa pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Mhandisi. Profesa Blasius Bavomara baada ya kupokelewa na Bendi ya Jeshi la Polisi kuelekea kwenye viwanja vya chuo tayari kwa ajili ya kuanza sherehe ya mahafali ya 32 ya chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) 28/01/2017 jijini Dar es Salaam.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAHAFALI YA 32 YA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI (NIT).
MAHAFALI YA 32 YA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI (NIT).
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgv-eQhUmp9VNi9OPQrFBs-s1DcWkjD3Zm_csBqkLk7YGLrcGKDlz4f61n6_vjMP4wL8ERbrOQqQXP2CmMmJ4rHp-z_ed6dBu1NqnHv9HNvsa0QgKOT7E65wfFnD-5ml2-N-xZpl4vocVY/s640/PICHA+20.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgv-eQhUmp9VNi9OPQrFBs-s1DcWkjD3Zm_csBqkLk7YGLrcGKDlz4f61n6_vjMP4wL8ERbrOQqQXP2CmMmJ4rHp-z_ed6dBu1NqnHv9HNvsa0QgKOT7E65wfFnD-5ml2-N-xZpl4vocVY/s72-c/PICHA+20.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/mahafali-ya-32-ya-chuo-cha-taifa-cha.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/mahafali-ya-32-ya-chuo-cha-taifa-cha.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy