DKT SHEIN AZINDUA VIFAA VIPYA VYA KUTEREMSHIA MAKONTENA UNGUJA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akikata utepe  Januari 4 2017, kuashiria...





 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akikata utepe  Januari 4 2017, kuashiria uzinduzi wa Vifaa vipya vya kufanyia kazi katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja leo ikiwemo  Makontena ya mizigo mizito wakiwepo na Viongozi mbali mbali,  ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
 
 
 
ruge-1
Vifaa vipya vya kufanyia kazi Bandarini ikiwemo Makontena ya mizigo mizito inayowasili katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja,leo vimezinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)  katika  shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. 
 
ruge-2
Vifaa vipya vya kufanyia kazi Bandarini ikiwemo Makontena ya mizigo mizito inayowasili katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja, vimezinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)  katika  shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
 
 
ruge-3
Vifaa vipya vya kufanyia kazi Bandarini ikiwemo Makontena ya mizigo mizito inayowasili katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja, vimezinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)  katika  shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.



ruge-4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji Mhe, Ali Abeid Amani Karume, alipowasili katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja  katika Uzinduzi wa  Vifaa vipya vya kufanyia kazi Bandarini ikiwemo Makontena, ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (katikati) Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe. Ayoub Mohamed Mahamoud.
 
 
 
ruge-5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Cpt. Abdalla Juma, alipowasili katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja  katika Uzinduzi wa  Vifaa vipya vya kufanyia kazi Bandarini ikiwemo makontena ya mizigo mizito, ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
 
 
ruge-6
Baadhi ya Viongozi wa Serikali waliohudhuria katika uzinduzi wa Vifaa vipya vya kufanyia kazi Bandarini ikiwemo makontena ya mizigo mizito, ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
 
 
 
 
ruge-7
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto) akipata bmaelezo kutoka kwa  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Cpt.Abdalla Juma, kuhusu utendaji wa Vifaa vipya vya kufanyia kazi katika    Bandari ya Malindi Mjini Unguja  mara baada ya Uzinduzi uliofanyika,ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
 
 
 
ruge-8
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (katikati) akiwasha   Mashine ya Reach Stacker yenye uwezo wa kunyanyua Tani 45  wakati alipokuwa akikagua  Vifaa vipya vya kufanyia kazi   katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja  mara baada ya Uzinduzi rasmi alioufanyika, ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Picha na Ikulu)
 

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: DKT SHEIN AZINDUA VIFAA VIPYA VYA KUTEREMSHIA MAKONTENA UNGUJA
DKT SHEIN AZINDUA VIFAA VIPYA VYA KUTEREMSHIA MAKONTENA UNGUJA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEia9YWfXo5A1U623zmkQmqR2vmr-ZW0TB9lEK_7pWArhoycQFX7kZGDuNJhe5TjnBpDfr5Q60K-dbLlN4OustDLUKijuw5m5IDjE_yL_RpLXCQtuEsrawxp1-eVBEIz4lrnr2nT9Ctj_LE/s640/RUGE.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEia9YWfXo5A1U623zmkQmqR2vmr-ZW0TB9lEK_7pWArhoycQFX7kZGDuNJhe5TjnBpDfr5Q60K-dbLlN4OustDLUKijuw5m5IDjE_yL_RpLXCQtuEsrawxp1-eVBEIz4lrnr2nT9Ctj_LE/s72-c/RUGE.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/01/dkt-shein-azindua-vifaa-vipya-vya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/dkt-shein-azindua-vifaa-vipya-vya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy