WAFANYAKAZI WA TSN WAADHIMISHA MIAKA 10 YA GAZETI DADA LA HABARILEO
HomeJamii

WAFANYAKAZI WA TSN WAADHIMISHA MIAKA 10 YA GAZETI DADA LA HABARILEO

 Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) Wachapaji wa magazeti ya Daily News, Sunday News, Habarileo, Habarileo Jumapili na...

TPA WASAINI MKATABA WA UPANUZI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM
MAJALIWA AFUTURISHA KWENYE VIWANJA VYA BUNGE
WATCH "SEMBENE!" TONIGHT AT 7:30PM.




 Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) Wachapaji wa magazeti ya Daily News, Sunday News, Habarileo, Habarileo Jumapili na Spotileo imeadhimisha miaka 10 tangu kuanza kwa gazeti la Habarileo mnamo Desemba 21,2006 kwa kukata keki huku Uongozi wa Kampuni hiyo ukitangaza shamra shamra za mwezi mmoja wa kusherehekea kuzaliwa kwa gazeti hilo.

Aidha ili kushirikiana na wadau wengine, Kampuni imetangaza punguzo la asilimia 30 kwa mteja atakeatangaza tangazo lake ndani ya siku 30 za shamrashamra katika gazeti la Habarileo.
 Miongoni mwa wageni maalum waliohudhuria sherehe hizo ni Mhariri Mtendaji wa zamani wa TSN, Isack Mruma (wapili kulia) ambaye kwa sasa ni Ofisa wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ambaye alishiriki kukata keki pamoja na Mhariri Mtendaji wa sasa Dk Jim Yonaz (wa pili kushoto) na Naibu Mharidi Mtendaji, Tuma Abdallah. Kushoto akishuhudia ni Meneja Mauzo na Masoko, Januarius Maganga.  
 
 Naibu Mhariri Mtendaji, Tuma Abdallah akimlisha keki Kaimu Mhariri wa Gazeti la Habarileo, Nicodemus Ikonko. 
 
 
 Shangwe za miaka 10 ya Habarileo.
 
 
 ME wa zamani wa TSN Isack Mruma akilishwa keki na ME wa TSN Dk Jim Yonazi.BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI.
 Ilikuwa ni furaha sana kwa viongozi hawa .
 Isack Mruma akimlisha keki Dk Jim Yonazi. 
 
 Isack Mruma akizungumza katika shamra shamra hizo na kuelezea changamoto mbalimbali alizokumbana nazo tangu kuanza kwa gazeti hilo. 
 
 
 Wafanyakazi wa TSN wakifuatailia.
 
 Mruma akizungumza na viongozi wa TSN kumsikiliza kwa makini.
 
 
 Isack Mruma akiagana na wafanyakazi wa gazeti la Habarileo ambao wengi wao alianza nao gazeti hilo.
 
 Dk Jim Yonazi (kushoto) akimsindikiza Isack Mruma.
 
Picha ya pamoja.
 
Picha ya pamoja.
 
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAFANYAKAZI WA TSN WAADHIMISHA MIAKA 10 YA GAZETI DADA LA HABARILEO
WAFANYAKAZI WA TSN WAADHIMISHA MIAKA 10 YA GAZETI DADA LA HABARILEO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlnPqZxFrZtlVusJrtYXt8_KJjyU8SSczuDeIStTUxE-S63G4s2BGuTeHnQHXyS0qseTIbMUEiPbR6YkTGM0i8l8r7GbOp9eB0rsoQgYo_1vKqkLFGKFKCVlRgij7rrMw1B6hjk6TXd4U/s640/HABARILEO+CAKE.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlnPqZxFrZtlVusJrtYXt8_KJjyU8SSczuDeIStTUxE-S63G4s2BGuTeHnQHXyS0qseTIbMUEiPbR6YkTGM0i8l8r7GbOp9eB0rsoQgYo_1vKqkLFGKFKCVlRgij7rrMw1B6hjk6TXd4U/s72-c/HABARILEO+CAKE.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/12/wafanyakazi-wa-tsn-waadhimisha-miaka-10.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/12/wafanyakazi-wa-tsn-waadhimisha-miaka-10.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy