TIGO YATANGAZA KUWASILISHA DOKEZO LA MUHTASARI KUHUSU PENDEKEZO LA AWALI LA KUUZA HISA ZAKE KWA UMMA
Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo balozi (mstaafu) Ami Mpungwe (katikati) akishirikiana na Mkurugenzi Mtendaji  wa kampuni hiyo, Diego Gutierrez wakikabidhi kabrasha lenye mapendekezo ya kuomba kuorodhesha hisa katika soko la hisa la Dar Es Salaam (DSE) kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa soko hilo, Moremi Marwa.
HomeBiashara

TIGO YATANGAZA KUWASILISHA DOKEZO LA MUHTASARI KUHUSU PENDEKEZO LA AWALI LA KUUZA HISA ZAKE KWA UMMA

Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo balozi (mstaafu) Ami Mpungwe (katikati) akishirikiana na M...

RAIS DKT MAGUFULI AENDESHA MKUTANO WA 11 WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
MOBILE WEEK KUTOA SIMU ZA KISASA KWA BEI CHEE
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AFUNGUA KIWANDA CHA SIGARA CHA MANSOOR INDUSTRIES LTD KILICHOPO KINGOLWIRA MOROGORO









Dar es Salaam – Desemba 8, 2016 –Kampuni ya Mtandao wa Simu za Mkononi ya MIC Tanzania Limited (Tigo) leo imetangaza rasmi kuwasilisha muhtasari  na maombi ya awali  katika Mamlaka ya Masoko ya Mitaji  na Dhamana (CMSA) na Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE) kuhusiana na mapendekezo ya awali ya kuorodhesha hisa zake katika Soko la Hisa la Dar es Salaam.
Uuzwaji wa hisa hizo unatarajiwa kuanza mara baada ya CMSA na DSE kumaliza mchakato wa mapitio kulingana na masharti yanayohusu soko la hisa.
Akizungumza wakati wa uwasilishaji huo Mkurugenzi Mtendaji wa Tigo, Bwana Diego Gutierrez, alisema: “Tunayo furaha kutangazia umma kuhusu uwasilishaji wa muhtasari wetu  ili mchakato uanze rasmi na kwamba tutawapatia  wateja wetu, wafanyakazi wetu na Watanzania kwa ujumla  fursa ya kuwa wamiliki wa hisa ndani ya kampuni yetu.”
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya MIC Tanzania Limited, Balozi (Mstaafu) Ami Mpungwe aliongeza kuwa: “uwasilishaji huu ni hatua muhimu katika historia ya kampuni na kwamba utawapatia Watanzania wote fursa sawa ya kushiriki katika mtaji wa kampuni yetu katika siku za usoni. Tutafanya kazi pamoja na mamlaka za usimamizi kuhakikisha mchakato huu unafanyika ipasavyo.”


Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TIGO YATANGAZA KUWASILISHA DOKEZO LA MUHTASARI KUHUSU PENDEKEZO LA AWALI LA KUUZA HISA ZAKE KWA UMMA
TIGO YATANGAZA KUWASILISHA DOKEZO LA MUHTASARI KUHUSU PENDEKEZO LA AWALI LA KUUZA HISA ZAKE KWA UMMA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhtAvsj6Q956X_sHzKfzkQgu-sigFpB9AvpPYRrEtnJFE_h3Tjx5xAYQh-YtTAazrYKLBxuPfRNplawFr3_2v7csuiW69F-5NykflWNhhu9RvrzAEnDHF9F-K1XKMc5pFq5Ii9m2deYEyY/s640/a.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhtAvsj6Q956X_sHzKfzkQgu-sigFpB9AvpPYRrEtnJFE_h3Tjx5xAYQh-YtTAazrYKLBxuPfRNplawFr3_2v7csuiW69F-5NykflWNhhu9RvrzAEnDHF9F-K1XKMc5pFq5Ii9m2deYEyY/s72-c/a.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/12/tigo-yatangaza-kuwasilisha-dokezo-la.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/12/tigo-yatangaza-kuwasilisha-dokezo-la.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy