NDOA YA UPEPO JIJINI MBEYA HATIMAYE YAFUNGWA

Bwana harusi Ndugu Samwel Makalobo akivishwa pete ya ndoa na Mke wake Given Mgaya katika kanisa la K.K.K.T Usharika wa Isan...







Bwana harusi Ndugu Samwel Makalobo akivishwa pete ya ndoa na Mke wake Given Mgaya katika kanisa la K.K.K.T Usharika wa Isanga jijini Mbeya .Picha na Keneth Ngelesi .

 JamiiMojaBlog,Mbeya
HATIMAYE lile tukio lililovuta hisia za watu wengi la bibi harusi, Given Mgaya, kukimbiwa kanisani na mchumba wake siku ya harusi, limepatiwa jibu baada ya bwana harusi , Samwel Mwakalobo, kujirudi na kuamua kutimiza ahadi yake ya kufunga ndoa.
Ndoa hiyo imefungwa leo  majira ya saa tisa Desemba 23  katika Kanisa la (K.K.K.T) Usharika wa Isanga na kufungishwa na Mchungaji, Mathias Andangile Mwakijungu, huku tukio hilo likishuhudiwa na idadi kubwa ya waumini na wananchi wa kawaida waliojitokeza kanisani hapo.
 Kabla ya  maharusi hao kula kiapo cha ndoa,Mchungaji Mwaijungu alitumia zaidi ya saa moja kutoa nasaha kwa maharusi kutokana na tukio lilotokea awali Disemba 16 mwaka huu baada ya Bwana harusi kuingia mitini bila kutoa sababu zozote.

Bwanaharusi akisaini hati ya Ndoa mbele ya mchungaji wa kanisa hilo Ndugu Mathias Mwaijungu mara baada ya ndoa hiyo kufungwa rasmi Desemba 23  mwaka huu.

Bibi harusi akisaini hati ya Ndoa mbele ya mchungaji wa kanisa hilo Ndugu Mathias Mwaijungu mara baada ya ndoa hiyo kufungwa rasmi Desemba 23  mwaka huu.

Mbali na kutoa nasaha kwa maharusi,pia Mchungaji Mwaijungu alitumia fursa hiyo kuwaonya baadhi ya waumini na watu wengine kuacha tabia ya kueleza mambo yasiyo yajua tena bila kuwa na uhakika.
Alisema tabia hiyo huenda ndiyo iliyosababisha tukio la kukwama kufungwa kwa ndoa hiyo baada ya baadhi waumini na watu wengine kwa maslai yao walimua kueleza uzushi ulio iibua taaruki kubwa.
Baada ya nasaha hizo na kunukukuu baadkitakatifu cha Bihi ya maandiko kutoka kitabu Biblia ndipo ulipo fika muda kwa maharusi hao kutimiza ahadi ya kula kiapo cha uaminifu katika ndoa yao.


Mara baada ya kufungisha ndoa hiyo nje ya kanisa hilo akizungumza na waandishi wa habari bwana harusi Mwakalobo alisema kuwa anawaomba radhi ndugu jamaa na marafiki na kwamba kilicho tokea ni mapito.
“ndugu zangu nawadhibitishia kuwa alipangelalo mungu binadamu hawezi kulitengua ni kwe;li tuliopnga tarehe ile lakini sisi ni wanadamu mungu alipanga huu ulikuwa ni upepo ulipita na niwaombe radhi ndugu jamaa kwa hili liliotokea” alisema Mwakalobo
Aidha katika hatua nyingine bibi harusi aligoma kuzungumzia suala hilo huku kwa kile alichokileza lile suala lililotokea kila kitu anamwachia Mungu.
Bibi harusi akitabasamu kwa furaha baada ya kutoka kanisani


Bwana na bibi harusi wakitoka kanisani

Maharusi akitoka kanisani

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: NDOA YA UPEPO JIJINI MBEYA HATIMAYE YAFUNGWA
NDOA YA UPEPO JIJINI MBEYA HATIMAYE YAFUNGWA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAkb1lmNJZ4OLJTSaB7sJjnkUPwJkxCRpmiovFNyeHQipaw05UoZYsHkNZK32bV6mS_WPBmr4gDQ_rD8rlQSdb_7FPdJtwIvaKlEYvU3Ti4P0E-M_SwvAyKNLHQHc-YmpFvIB9EwWDy8I/s640/PETE.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAkb1lmNJZ4OLJTSaB7sJjnkUPwJkxCRpmiovFNyeHQipaw05UoZYsHkNZK32bV6mS_WPBmr4gDQ_rD8rlQSdb_7FPdJtwIvaKlEYvU3Ti4P0E-M_SwvAyKNLHQHc-YmpFvIB9EwWDy8I/s72-c/PETE.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/12/ndoa-ya-upepo-jijini-mbeya-hatimaye.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/12/ndoa-ya-upepo-jijini-mbeya-hatimaye.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy