Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (aliyevaa koti) akiwasili katika Ziara ya Shekhe Uwesu bin Muham...
Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (aliyevaa koti)
akiwasili katika Ziara ya Shekhe Uwesu bin Muhammad Alqadiriya iliyofanyika
katika Zawiya ya Shekhe Mahadh Kigamboni, jijini Dar es Salaam jana. Katika hotuba yake
Masauni aliwataka vijana kuwa makini na mashirika ambayo yanahamasisha ushoga
nchini na pia alitangaza kuyafuta mashirika hayo endapo yakigundulika.
Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia aliyekaa)
akimsikiliza Kadhi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shekhe Hamid Masoud Jongo
alipokuwa akizungumza na Waislam katika Ziara ya Shekhe Uwesu bin Muhammad
Alqadiriya iliyofanyika katika Zawiya ya Shekhe Mahadh Kigamboni, jijini Dar es
Salaam leo. Mgeni rasmi katika sherehe hiyo, Mhandisi Masauni, katika hotuba
yake aliwataka vijana kuwa makini na mashirika ambayo yanahamasisha ushoga
nchini, na pia alitangaza kuyafuta mashirika hayo endapo yakigundulika
Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia aliyekaa)
na Kadhi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shekhe
Hamid Masoud Jongo (wapili kulia waliokaa) wakimsikiliza Shekhe wa Wilaya ya
Kigamboni, Abdalla Idd alipokuwa akizungumza na Waislam katika Ziara ya Shekhe Uwesu
bin Muhammad Alqadiriya iliyofanyika katika Zawiya ya Shekhe Mahadh Kigamboni,
jijini Dar es Salaam leo. Mgeni rasmi katika sherehe hiyo, Mhandisi Masauni,
katika hotuba yake aliwataka vijana kuwa makini na mashirika ambayo
yanahamasisha ushoga nchini, na pia alitangaza kuyafuta mashirika hayo endapo
yakigundulika
COMMENTS