MAANDALIZI YA NA MAZISHI YAMPOKI BUKUKU'SUMO' MSALATO DODOMA LEO
HomeJamii

MAANDALIZI YA NA MAZISHI YAMPOKI BUKUKU'SUMO' MSALATO DODOMA LEO

 Maziko ya Mpigapicha Mpoki Bukuku yanatarajibkufanyika leo Kijijini kwao Msalato Dodoma yalipo makazi ya mamavyake ...

MAJALIWA AHUTUBIA NA KUKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR-AAN TUKUFU AFRIKA KWENYE UWANJA WA TAIFA DAR
NEWS ALERT KUHUSU MAZISHI YA MHESHIMIWA BILAGO
TANZIA; MHESHIMIWA BILAGO HATUNAYE TENA




 Maziko ya Mpigapicha Mpoki Bukuku yanatarajibkufanyika leo Kijijini kwao Msalato Dodoma yalipo makazi ya mamavyake nabyalipo makaburi ya Familia likiwepo la Baba yake na kaka yake. Tayari waombolezaji wameshaanza kuwasili na taratibu za mazishi zinaendelea.
Wamama wa Kinyakyusa wakiimba kuzunguka Jeneza la Marehemu Mpoki Bukuku.
Mafundi wakiendelea na ujenzi wa nyumba ya muda ya Mpoki Bukuku.
Waombolezaji wakiwa katika eneo itakapofanyika ibada ya mazishi pamoja na eneo la makaburi.
Mpigapicha Mroki Mroki akisaini kitabu cha maombolezo, Msalato Dodoma.
Mpigapicha John Bukuku nae akisaini  cha maombolezo.
Mpigapicha Emmanuel Herman nae akisaini kitabu.
Mohamed Mambo, Mpigapicha nae akisaini Kitabu cha Maombolezo.

Watoto wa marehemu wakiweka shada la maua kwenye kaburi la baba yao marehemu Mpoki Bukuku, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kwenye makaburi ya familia huko Msalato, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma Desemba 27, 2016.
 Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, (wapili kushoto), na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, na Mbunge wa Dodoam mjini, Anthony Mavunde, wakwia tayari wameweka shada la mauwa kwenye kaburi la marehemu Mpoki Bukuku kwenyemakaburi ya familia huko Msalato, nje kidogo ua Manispaa ya Dodoma Desemba 27, 2016.
 Wazzi wa marehemu wakiweka shada la maua kwenye kaburila mwanao
Mke wa marehemu akiweka shada la maua kwenye kaburi la mumewe
 Waombolezaji wakilishusha kaburini, jeneza lenye mwili wa marehemu Mpoki Bukuku "Sumo", aliyekuwa mpiga picha mwandamizi wa kampuni ya The Guardian Limited, kwenye makaburi ya familia huko Msalato nje kidogoya Manispaa ya mji wa Dodoma leo Desemba 27, 2016.



Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAANDALIZI YA NA MAZISHI YAMPOKI BUKUKU'SUMO' MSALATO DODOMA LEO
MAANDALIZI YA NA MAZISHI YAMPOKI BUKUKU'SUMO' MSALATO DODOMA LEO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsvcIS4FwCi7zJX_W2JP1t4h9_7cZ79kmJs90-UOVQjpmZJ2nWDB5dU7AMxog1hPQo-aDZRqjBvi5Ci8UrD-4G0EUy21ZUNRFbz3IzUL57K4nJKU022bIHwDb9NiZy5tKnwy_yDnGqsxo/s640/IMG_20161227_111818.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsvcIS4FwCi7zJX_W2JP1t4h9_7cZ79kmJs90-UOVQjpmZJ2nWDB5dU7AMxog1hPQo-aDZRqjBvi5Ci8UrD-4G0EUy21ZUNRFbz3IzUL57K4nJKU022bIHwDb9NiZy5tKnwy_yDnGqsxo/s72-c/IMG_20161227_111818.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/12/maandalizi-ya-na-mazishi-yampoki.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/12/maandalizi-ya-na-mazishi-yampoki.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy