EYAKUZE, MKURUGENZI MTENDAJI WA TWAWEZA NA MKUTANO UNAOJADILI UWEPO ZA SHERIA ZA HABARI, HAKI YA KUPATA TAARIFA MJINI PARIS
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Twaweza, Aidan Eyakuze akiongea na Sehemu ya washiriki wa mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa wakishiriki katika majadiliano ya masuala mbalimbali yanayohusiana na mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi.
HomeJamii

EYAKUZE, MKURUGENZI MTENDAJI WA TWAWEZA NA MKUTANO UNAOJADILI UWEPO ZA SHERIA ZA HABARI, HAKI YA KUPATA TAARIFA MJINI PARIS

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Twaweza, Aidan Eyakuze akiongea na  Sehemu ya washiriki wa mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji...

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WATEULE
MAHAFALI YA KIDATO CHA SITA SEKONDARI YA CHANG'OMBE MAZOEZI YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
WATANZANIA KUNUFAIKA NA UMEME WA JUA NA MAJIKO BUNIFU YA SUN KING




EYAKUZE, MKURUGENZI MTENDAJI WA TWAWEZA NA MKUTANO UNAOJADILI UWEPO ZA SHERIA ZA HABARI, HAKI YA KUPATA TAARIFA MJINI PARIS
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Twaweza, Aidan Eyakuze akiongea na Sehemu ya washiriki wa mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa wakishiriki katika majadiliano ya masuala mbalimbali yanayohusiana na mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi.

 Mtafiti katika masuala ya habari Bi. Alina Mungiu (kulia)  akijibu maswali wakati wa kikao cha Asasi za Kiraia katika mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa ambapo alieleza jinsi uwepo za sheria za habari na sheria za haki ya kupata taarifa zinavyoweza kusaidia katika mapambano dhidi ya rushwa.
 Washiriki wa mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa wakimsikiliza Mkurugenzi wa Ushirikishwaji wa Asasi za Kiraia Bw. Paul Maasen
 Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa wakishiriki katika majadiliano ya masuala mbalimbali yanayohusiana na mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi
  Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa wakishiriki katika majadiliano ya masuala mbalimbali yanayohusiana na mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi.

Sehemu ya washiriki wa mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa wakishiriki katika majadiliano ya masuala mbalimbali yanayohusiana na mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi.
 Mtafiti katika masuala ya habari Bi. Alina Mungiu (wakwanza kulia)akijibu maswali wakati wa kikao cha Asasi za Kiraia katika mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa ambapo alieleza jinsi uwepo za sheria za habari na sheria za haki ya kupata taarifa zinavyoweza kusaidia katika mapambano dhidi ya rushwa.
 Mkurugenzi wa Ushirikishwaji wa Asasi za Kiraia Bw. Paul Maasen akiongea na washiriki wa mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa ambapo alisema serikali kutoa huduma kwa uwazi kutasaidia kuondoa vitendo vya rushwa na uwazi.
 Washiriki wa mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa wakimsikiliza Mkurugenzi wa Ushirikishwaji wa Asasi za Kiraia Bw. Paul Maasen.
 Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa wakishiriki katika majadiliano ya masuala mbalimbali yanayohusiana na mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi.
  Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Nne wa Mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi Jijini Paris Nchini Ufaransa wakishiriki katika majadiliano ya masuala mbalimbali yanayohusiana na mpango wa uendeshaji wa serikali kwa uwazi

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Twaweza Bw.Aidan Eyakuze akifafanua jambo.
Mtafiti katika masuala ya habari Bi. Alina Mungiu akitoa mada kuhusu namna asasi za kiraia na ukuaji wa teknolojia unaweza kusaidia katika mapambano dhidi ya rushwa.
          (PICHA NA HASSAN SILAYO-MAELEZO-(PARIS)



Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: EYAKUZE, MKURUGENZI MTENDAJI WA TWAWEZA NA MKUTANO UNAOJADILI UWEPO ZA SHERIA ZA HABARI, HAKI YA KUPATA TAARIFA MJINI PARIS
EYAKUZE, MKURUGENZI MTENDAJI WA TWAWEZA NA MKUTANO UNAOJADILI UWEPO ZA SHERIA ZA HABARI, HAKI YA KUPATA TAARIFA MJINI PARIS
https://i.ytimg.com/vi/ut0_mOWaCy0/hqdefault.jpg
https://i.ytimg.com/vi/ut0_mOWaCy0/default.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/12/eyakuze-mkurugenzi-mtendaji-wa-twaweza.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/12/eyakuze-mkurugenzi-mtendaji-wa-twaweza.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy