DKT. SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA CUBA NA OMAN
HomeJamii

DKT. SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA CUBA NA OMAN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na   Balozi Mdogo w...

MAMBO MBALIMBALI YALIYOFANYIKA WAKATI WA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
MAONYESHO YA BIDHAA YA VYAKULA KUTOKA INDIA YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
WATUMISHI WA KARAKANA ZA TEMESA WAPATIWA MAFUNZO ELEKEZI.





Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na   Balozi Mdogo wa Oman katika Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania anayefanyia kazi zake  Zanzibar Mhe,Ahmed Bin Humoud Al Habsi,  alipofika Ikulu Mjini Unguja leo kujitambulisha. (PICHA NA IKULUYA ZANZIBAR)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Balozi Mdogo wa Oman katika Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania anayefanyia kazi zake  Zanzibar Mhe,Ahmed Bin Humoud Al Habsi,  alipofika Ikulu Mjini Unguja kujitambulisha leo Desemba 27, 2016
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akibadilishana mawazo na  Balozi Mdogo wa Oman katika Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania anayefanyia kazi zake  Zanzibar Mhe,Ahmed Bin Humoud Al Habsi,  baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu Mjini Unguja leo kujitambulisha

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na mgeni wake Balozi   wa Cuba  katika Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Mhe,Jorge Luis Lopez   alipofika Ikulu Mjini Unguja leo Desemba 27, 2016 kumuaga, baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na mgeni wake Balozi   wa Cuba  katika Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Mhe,Jorge Luis Lopez   alipofika Ikulu Mjini Unguja leo kumuaga Rais   kwa kumaliza muda wake wa kazi hapa Nchini.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akiagana na mgeni wake Balozi   wa Cuba  katika Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Mhe,Jorge Luis Lopez baada ya mazungumzo yao  leo alipofika Ikulu Mjini Unguja kumuaga Rais baada ya kumaliza muda wake wa kazi
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: DKT. SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA CUBA NA OMAN
DKT. SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA CUBA NA OMAN
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-PjZgW3fiMq5ZBEcW5Kx-49pU9g_iFKwHAkwK3cav0rx54UOEHciP1cILmkGq-3joKrurx8dG-cgcZnb-C_VXBl1fM3GLri_p0wnpPQu8rxyV026LEl2us35Q22upR-aPRkgdpHGkdmo/s640/DSC_6953.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-PjZgW3fiMq5ZBEcW5Kx-49pU9g_iFKwHAkwK3cav0rx54UOEHciP1cILmkGq-3joKrurx8dG-cgcZnb-C_VXBl1fM3GLri_p0wnpPQu8rxyV026LEl2us35Q22upR-aPRkgdpHGkdmo/s72-c/DSC_6953.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/12/dkt-shein-akutana-na-balozi-wa-cuba-na.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/12/dkt-shein-akutana-na-balozi-wa-cuba-na.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy