CCM YAMPA POLEPOLE VIATU VYA NAPE, MGOGOLO NAIBU KATIBU MKUU

Na Bashir Nkoromo, Dar Chama Cha Cha Mapinduzi (CCM), leo kimeteua viongozi waandamizi watatu kuziba nafasi zilizokuwa wazi, ...











Na Bashir Nkoromo, Dar


Chama Cha Cha Mapinduzi (CCM), leo kimeteua viongozi waandamizi watatu kuziba nafasi zilizokuwa wazi, kutokana na waliokuwa wakizishikilia kupewa majukumu mengine ya serikalini.



Uteuzi huo, umefuatia Halamshauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) katika kikao chake, kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, leo chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli,  na kuridhia mapendekezo ya Kikao cha Kamati Kuu ya CCM, kilichofanyika juzi pia chini ya Dk. Magufuli.





Akizungumza na waandishi wa habari leo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, aliyekuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, kupitia vikao hivyo, CCM imemteua Rodrick Mpogolo anakuwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Rajabu Luhwavi ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.



Nape alisema, wapili ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga, kuwa Katibu NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Dk. Asha-Rose Migiro aliyeteuliwa kuwa Balozi na Humphrey Polepole aliyeteuliwa kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Nape mwenyewe aliyeteuliwa kuwa Waziri.



Amesema, kupitia kikao hicho cha Halmashauri Kuu ya Taifa, kilichofanyika leo, mambo kadhaa yaliyopendekezwa na Kamati Kuu, yamejadiliwa na kikao hicho cha NEC na yote yamepitishwa. Kusoma taarifa ya yooote, yaliyojiri katika kikao hicho cha NEC, sasa/BOFYA HAPA

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: CCM YAMPA POLEPOLE VIATU VYA NAPE, MGOGOLO NAIBU KATIBU MKUU
CCM YAMPA POLEPOLE VIATU VYA NAPE, MGOGOLO NAIBU KATIBU MKUU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjOd0yJ9UPWfmc-kYA_NIbtQwxDYRU_lkPycGEqA-LfDv2nKG25QDspBZd1Vg08e6FfoyZgf6-n8W-tUNeGRuOkSonkkTkNYdwsZJwJUmhapBEZk_WzJP07I7wC2Tpuha0G-1gKCGVOQoyd/s320/MPOGOLO.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjOd0yJ9UPWfmc-kYA_NIbtQwxDYRU_lkPycGEqA-LfDv2nKG25QDspBZd1Vg08e6FfoyZgf6-n8W-tUNeGRuOkSonkkTkNYdwsZJwJUmhapBEZk_WzJP07I7wC2Tpuha0G-1gKCGVOQoyd/s72-c/MPOGOLO.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/12/ccm-yampa-polepole-viatu-vya-nape.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/12/ccm-yampa-polepole-viatu-vya-nape.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy