RAIS DKT MAGUFULI AMPIGIA SIMU RC MAKONDA NA KUMPONGEZA KWA KAZI ANAYOIFANYA

Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii.  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amempongeza mkuu wa mkoa...




Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii. 

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amempongeza mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam , Paul Makonda kwa juhudi anazofanya katika ziara yake kwa kusikiliza kero za Wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam. 

Rais Magufuli ambaye alimpigia mkuu huyo wa mkoa wakati alipokuwa akisikiliza kero za Wananchi katika Kata ya Mbezi Luis eneo la Malamba Mawili ambako aliweza kumsisitiza kuwa aendelee kutumbua watu huko huko aliko. 

 “Endelea hivyo kutembelea wananchi na kutoa ufafanuzi kwa sababu nyingine ufafanuzi huu kama ungetolewa mapema wala wananchi wasingekuwa na sababu ya kuja kuuliza maswali kui kwa hiyo endeleeni hivyo hivyo na juhudi za Dar es Salaam na wakuu wa Wilaya yako na watendaji wote kwa kazi nzuri mnazozifanya kwa kusikiliza kero zao bila kujali vyama vyao bila kujali makabila yao na uendelee kutumbua huko huko” Amesema Rais Magufuli. 

 Amemtaka pia kuendelea kupiga kazi na kumwabia kuwa yeye yupo nyuma yake kwani amevunja mwiko wa viongozi waliokuwa wanapendelea kukaa ndani. Kwa upande wake mkuu huyo wa mkoa aliendelea kuwa mtiifu huku akimsikiliza Rais Magufuli kwa Makini juu ya pongezi anazopewa mbele ya watu kwani ameweza kurudisha imani kwa viongozi wa serikali ambayo iliondoka kwa watu kutokana na ujinga wa watu wa chache. Mhe. Makonda.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: RAIS DKT MAGUFULI AMPIGIA SIMU RC MAKONDA NA KUMPONGEZA KWA KAZI ANAYOIFANYA
RAIS DKT MAGUFULI AMPIGIA SIMU RC MAKONDA NA KUMPONGEZA KWA KAZI ANAYOIFANYA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiT6BsIOgo88p-ws4ZsUpkH5wNNonFxXKjqDG6X3GkpTaPsSQtnkEWq8W6UG1Nm-wChQNwFP29ZZbq28CdAmpjl6z2295MmutpsKSw6B0NhyU2-RtWdQpv9GZBz8Z0zKbPjsyMozdb6UBs/s320/WhatsApp+Image+2016-11-25+at+17.40.57.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiT6BsIOgo88p-ws4ZsUpkH5wNNonFxXKjqDG6X3GkpTaPsSQtnkEWq8W6UG1Nm-wChQNwFP29ZZbq28CdAmpjl6z2295MmutpsKSw6B0NhyU2-RtWdQpv9GZBz8Z0zKbPjsyMozdb6UBs/s72-c/WhatsApp+Image+2016-11-25+at+17.40.57.jpeg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/11/rais-dkt-magufuli-ampigia-simu-rc.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/11/rais-dkt-magufuli-ampigia-simu-rc.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy