MAAFISA WA TPA NA TRA WAANZA MAFUNZO MARA BAADA YA TPA KUKAMILISHA UFUNGAJI WA ‘SCANNER’ MPYA BANDARI YA DAR

   Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko akifungua mafunzo hayo kwa Watumishi wa TPA na TRA yanayohusu matumizi ya ...




 
 Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko akifungua mafunzo hayo kwa Watumishi wa TPA na TRA yanayohusu matumizi ya ‘scanner’ mpya iliyofungwa katika Bandari ya Dar es Salaam.
 
 
 Baadhi ya Watumishi wa TPA ambao watahusika na usimamizi wa matumizi ya ‘scanner’ mpya wakati wa ukaguzi wa mizigo ya kontena katika Bandari ya Dar es Salaam.
 
 
 
 
 Afisa Forodha Mwandamizi wa TRA, Bw. Julius Joseph akichangia jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo ambapo alitoa rai kwa TPA na TRA kuendelea kushirikiana kwa pamoja wakati wa ukaguzi wa mizigo katika Bandari za Tanzania ili kuondoa mianya ya ukwepaji kodi na kuongeza mapato ya Serikali.
 
 
 
 Afisa Ufundi anayehusika na scanner kutoka TRA, Bw. Manjale Musele akichangia jambo kuhusiana na namna walivyojipanga katika kuhakikisha ‘scanner’ mpya inatumika kikamilifu ili kuisaidia Serikali kuongeza mapato.
 
 
 
 Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko akisisitiza jambo kwa washiriki wa mafunzo ambapo aliwasisitiza kuzingatia uzalendo wakati watakapokuwa wanaendesha scanner mpya iliyofungwa katika bandari ya Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Fredy Liundi, Kaimu Mkurugenzi wa Utumishi, Bw. Erasmo Mbilinyi na Kaimu Mkurugenzi wa Tehama, Bw. Abdulrahman Mbamba (kulia).
 
 
 
 Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deudedit Kakoko akifurahia jambo na Meneja Mafunzo kutoka Kampuni ya Nuctech ya Jamhuri ya Watu wa China, Bw. Lan Yuming mara baada ya kuzindua mafunzo kwa Maafisa wa TPA na TRA hivi karibuni. Katikati ni Meneja Mradi kutoka Kampuni ya Nuctech Bw. Zhang Sheng.
 
 
 
Jengo jipya ambalo limejengwa kwa ajili ya matumizi ya scanner mpya iliyofungwa katika bandari ya Dar es Salaam.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAAFISA WA TPA NA TRA WAANZA MAFUNZO MARA BAADA YA TPA KUKAMILISHA UFUNGAJI WA ‘SCANNER’ MPYA BANDARI YA DAR
MAAFISA WA TPA NA TRA WAANZA MAFUNZO MARA BAADA YA TPA KUKAMILISHA UFUNGAJI WA ‘SCANNER’ MPYA BANDARI YA DAR
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQogxypIK7Mfv9DT4nkG4ffXS7gnPkkhT5e0lwrgWrvx3gHAQxc13VB36BqbKiJ0jMC_ilL3P1nmPkvT3reDzDIINFQtZUsq2VWqsTzbTTe9xqiWGp-_oPUgudj6wijWOT6h1wbd70eoUB/s640/PIC+1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQogxypIK7Mfv9DT4nkG4ffXS7gnPkkhT5e0lwrgWrvx3gHAQxc13VB36BqbKiJ0jMC_ilL3P1nmPkvT3reDzDIINFQtZUsq2VWqsTzbTTe9xqiWGp-_oPUgudj6wijWOT6h1wbd70eoUB/s72-c/PIC+1.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/11/maafisa-wa-tpa-na-tra-waanza-mafunzo.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/11/maafisa-wa-tpa-na-tra-waanza-mafunzo.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy