WALIOKOSA MIKOPO SASA HESLB RUKSA KUKATA RUFAA
Afisa Mtendaji Mkuu wa HESLB, Abdul-Razaq Badru
HomeJamii

WALIOKOSA MIKOPO SASA HESLB RUKSA KUKATA RUFAA

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza siku 90 kuanzia leo (Jumatatu, Oktoba 31, 2016...

UJANGILI NCHINI WAPUNGUA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 50 - DK. KIGWANGALLA
KATIBU MKUU MSTAAFU - HAZINA RAMADHAN MUSSA KHIJJAH AZIKWA
RIPOTI YA KOROSHO GHAFI YAKABIDHIWA KWA IGP SIRRO




Na Mwandishi Wetu

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza siku 90 kuanzia leo (Jumatatu, Oktoba 31, 2016) kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2016/2017 kukata rufaa kwa njia ya mtandao ikiwa hawajaridhsihwa na matokeo ya upangaji uliotangazwa hivi karibuni.



Serikali imetenga Tshs 483 bilioni kwa ajili ya kutoa mikopo kwa jumla wanafunzi 119,012 – kati yao, wanafunzi 93,295 ni wanaondelea na masomo na wanafunzi 25,717 ni wa mwaka wa kwanza. Hadi sasa, jumla ya wanafunzi 20,183 wa mwaka wa kwanza wameshapata mikopo.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo (Jumatatu, Oktoba 31, 2016) na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. Abdul-Razaq Badru, Bodi imeanza kupokea rufaa hizo kwa njia ya mtandao (Online Loan Application and Management System) kuanzia leo (Oktoba 31, 2016) hadi Januari 31, 2017.

“Wanachotakiwa kufanya wanafunzi ni kuingia katika mtandao wetu wa http://olas.heslb.go.tz na kujaza fomu, kuichapa na kuiwasilisha kwa Afisa Mikopo wa chuo chake ambaye atawasilisha kwetu fomu zote za chuo chake kwa barua kwa ajili ya sisi kuzifanyia kazi,” amesema Bw. Badru.

Bw. Badru, katika taarifa yake inayopatikana pia katika tovuti ya HESLB (www.heslb.go.tz) ameongeza kuwa Bodi haitapokea wala kuzifanyia kazi fomu za rufaa ambazo zitawasilishwa Bodi na wanafunzi bila kupitia kwa maaifsa mikopo wa vyuo vyao.
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WALIOKOSA MIKOPO SASA HESLB RUKSA KUKATA RUFAA
WALIOKOSA MIKOPO SASA HESLB RUKSA KUKATA RUFAA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOw9YU1dtyuuqNmwX-PvcXVOReWVnTfqAzB7v2lZwLncjJD08eTjEkI2Uk4kCywSJKY0MTx17thRKVxSUZmliScBSwMzieVfTdltCVDP7SPeYQ8jv0HrAA9BnDWp0RMAEMSi5esm-N5vs/s640/HESLB+CEO+Mr.+Badru.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOw9YU1dtyuuqNmwX-PvcXVOReWVnTfqAzB7v2lZwLncjJD08eTjEkI2Uk4kCywSJKY0MTx17thRKVxSUZmliScBSwMzieVfTdltCVDP7SPeYQ8jv0HrAA9BnDWp0RMAEMSi5esm-N5vs/s72-c/HESLB+CEO+Mr.+Badru.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/10/waliokosa-mikopo-sasa-heslb-ruksa.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/10/waliokosa-mikopo-sasa-heslb-ruksa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy