NAIBU KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI NCHI, AONGOZA WATUMISHI KUAGA MWILI MAREHEMU YUSTA MSOKA DAR
HomeJamii

NAIBU KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI NCHI, AONGOZA WATUMISHI KUAGA MWILI MAREHEMU YUSTA MSOKA DAR

  Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Lilian Mapfa akiaga mwili wa Mw...

MAKAMU WA RAIS, SAMIA AMRITHI MAMA SALMA KIKWETE ULEZI WA TANZANIA GIRL GUIDES
UFAFANUZI KUHUSU KAMPUNI YA MANTRA TANZANIA KUSITISHA UCHIMBAJI WA MADINI YA URANI
TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE NI MKOMBOZI AFRIKA MASHARIKI






NAIBU KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI NCHI, AONGOZA WATUMISHI KUAGA MWILI MAREHEMU YUSTA MSOKA DAR
 Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Lilian Mapfa akiaga mwili wa Mwanasheria wa Wizara hiyo, marehemu, Yusta Msoka, ambaye alifariki wiki iliyopita na mwili wake ulizikwa Mbagala, jijini Dar es Salaam jana. Nyuma ya Mapfa, ni Mkuu wa Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) wa Wizara hiyo, Jane Massawe.
 
 Mkurugenzi wa Idara ya Sheria wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba, Afisa Sheria wa Wizara hiyo, Berious Nyasebwa wakiaga mwili wa mwanasheria mwenzao wa Wizara hiyo, marehemu, Yusta Msoka, ambaye alifariki wiki iliyopita na mwili wake ulizikwa Mbagala, jijini Dar es Salaam jana. 
 
 
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Balozi Simba Yahya (kushoto), Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa (kushoto kwa Balozi), Mkurugenzi wa Idara ya Sheria wa Wizara hiyo, Marlin Komba wakiwa katika hali ya huzuni pamoja na waombolezaji wengine wakati wa kuaga mwili wa marehemu, Yusta Msoka, ambaye alifariki wiki iliyopita na mwili wake ulizikwa Mbagala, jijini Dar es Salaam jana.
 Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE), tawi la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, William Mkombozi akisoma wasifu wa Afisa Sheria wa Wizara hiyo, marehemu, Yusta Msoka, ambaye alifariki wiki iliyopita na mwili wake ulizikwa Mbagala, jijini Dar es Salaam jana.

Mkurugenzi wa Idara ya Sheria wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba, akikabidhi rambirambi kwa niaba ya Ofisi ya Mwajiri wa Afisa Sheria, marehemu Yusta Msoka. Kushoto anayepokea rambirambi hiyo ni Mama wa marehemu huyo. Mtumishi huyo alifariki dunia wiki iliyopita na kuzikwa jijini Dar es Salaam jana.
(Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: NAIBU KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI NCHI, AONGOZA WATUMISHI KUAGA MWILI MAREHEMU YUSTA MSOKA DAR
NAIBU KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI NCHI, AONGOZA WATUMISHI KUAGA MWILI MAREHEMU YUSTA MSOKA DAR
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiie2zHKdrdYOMzdc1-w5jwNast6IdzfCbCCtpvr_aKAQnmno4KZoPsxq0reroVHjevUtXmgg5nRyiAkHCCbRlAEQlyo3tIVi4vhaXK9upISaMkN2pIwEUoe2K0H5x-15nNvNrOR5qhHOw/s640/PIX+1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiie2zHKdrdYOMzdc1-w5jwNast6IdzfCbCCtpvr_aKAQnmno4KZoPsxq0reroVHjevUtXmgg5nRyiAkHCCbRlAEQlyo3tIVi4vhaXK9upISaMkN2pIwEUoe2K0H5x-15nNvNrOR5qhHOw/s72-c/PIX+1.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/10/naibu-katibu-mkuu-mambo-ya-ndani-nchi.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/10/naibu-katibu-mkuu-mambo-ya-ndani-nchi.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy