WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA NA PROFESA MUHONGO WAZIRI WA NISHATI NA MADINI BAADA YA BAJETI YAKE KUPITISHWA JANA. Waziri Mkuu, Mi...
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA NA PROFESA MUHONGO WAZIRI WA NISHATI NA MADINI BAADA YA BAJETI YAKE KUPITISHWA JANA.
 |
| Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na familia ya Waziri wa
Nishati na Madini Profesa Peter Muhongo (hayupo pichani) baada ya Bunge
kupitisha bajeti ya Wizara hiyo mjini Dodoma Mei 30, 2014. Kulia ni mke wa Waziri huyo, Bertha Mamuya na mabinti wa Waziri, Nyasige Sospeter (kushoto) na Bertha Kimariyo. |
 |
| Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa
Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) na mkewe, Bertha
Mamuya (kushoto) baada ya Bajeti ya Wizara hiyo kupitishwa na Bunge Mjini Dodoma, jana. Wengine ni mabinti wa Waziri huyo, Bertha
Kimariyo (wa pili kushoto) na Nyasige Peter. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
COMMENTS