SERIKALI KUPITIA WIZARA YA UJENZI,UCHUKUZI NA MAWASILIANO YAOMBWA KUJENGA BARABARA YA BAGAMOYO,MAKURUNGE HADI SAADAN
HomeJamii

SERIKALI KUPITIA WIZARA YA UJENZI,UCHUKUZI NA MAWASILIANO YAOMBWA KUJENGA BARABARA YA BAGAMOYO,MAKURUNGE HADI SAADAN

Afisa Utalii Hifadhi ya Taifa ya Saadan Athuman Mbae akizungumza na waandishi wa habari AFISA Utalii Hifadhi ya Taifa ya Saadan At...

BITEKO AUNGA MKONO AGIZO LA WAZIRI MKUU KWA VITENDO, ACHANGIA MABATI 100 KUPAUA SHULE YA SEKONDARI AZIMIO
WANAWAKE WAJIPUMZISHA KUNDUCHI, WASEMA WANASTAHILI KUPUMZIKA
WAZIRI KIGWANGALLA AMTEUA MISS JOURNALISM TANZANIA 2018 KUWA BALOZI WA UTALII WA PORI LA AKIBA SELOUS






Afisa Utalii Hifadhi ya Taifa ya Saadan Athuman Mbae akizungumza na
waandishi wa habari

AFISA
Utalii Hifadhi ya Taifa ya Saadan Athuman Mbae ameiomba Serikali
kupitia Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano kuijenga barabara ya
Bagamoyo, Makurunge hadi kuingia Hifadhini ili kuondoa kero kwa watalii
hasa nyakati za mvua.



Hayo ameyazungumza kwenye maonyesho ya sita ya biashara ya Kimataifa
yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwahako  Jijini Tanga na kusema ubovu
wa barabara hiyo umekuwa kikwazo kwa wageni wengi.



Mbae alisema Hifadhi hiyo imekuwa ikipokea wageni wengi kutokea Jijini
Dar es salaam na nje ya nchi kupitia barabara hiyo huku miundombinu hiyo
ikiwa haiwezi kupitika kwa nyakati zote.



"Wageni wetu wamekuwa wakitumia barabara hiyo kufika katika hifadhi yetu
na tuna idadi kubwa ya wageni hofu yetu ubovu wa barabara unaweza
kukwamisha wageni na labda kupungua"Alisema Mbae.



Aidha alisema uwepo wa miundombinu mizuri utarahisisha kwa wananchi toka
Mikoa ya Tanga,Dar na Pwani kutembelea katika hifadhi hiyo na kujionea
vivutio vilivyopo kwa siku moja.



Alisema ipo haja kwa Serikali kuelekeza nguvu kwenye ujenzi wa barabara
hiyo ili kuirahisishia  hifadhi hiyo kupokea wageni wengi kwa nyakati
zote na kuongeza pato la Taifa.



Hata hivyo alisema Hifadhi hiyo imeweka mfumo wa matumizi ya master card
visa card katika maswala ya ulipaji wa gharama za ulipaji ili kudhibiti
mapato yaingiayo kama aerikali inavyoagiza.



"Tunamfumo wa kieletronics kwenye maswala yetu ya malipo na hii
itatusaidia kupunguza vitendo vya kihalifu kwa wageni wetu kutokana
kutokutembea na fedha nyingi"Alisema Mbae (Habari kwa Hisani ya Blog
ya Kijamii ya Tanga Raha)
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SERIKALI KUPITIA WIZARA YA UJENZI,UCHUKUZI NA MAWASILIANO YAOMBWA KUJENGA BARABARA YA BAGAMOYO,MAKURUNGE HADI SAADAN
SERIKALI KUPITIA WIZARA YA UJENZI,UCHUKUZI NA MAWASILIANO YAOMBWA KUJENGA BARABARA YA BAGAMOYO,MAKURUNGE HADI SAADAN
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjGa9ZiKpImiDU4PSikOkcCKzeGIC9sik06k8kvw4FYaH84wUjq0QOEw4EDC8YTDi1zok_iOSYyXDmoiMbK4HEr4hVrtrrHP2mMEEe8mCvmPpEhBV6uK3QBgrNTr6dRdV3cUsVxG4HBHOk/s640/_MG_6132.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjGa9ZiKpImiDU4PSikOkcCKzeGIC9sik06k8kvw4FYaH84wUjq0QOEw4EDC8YTDi1zok_iOSYyXDmoiMbK4HEr4hVrtrrHP2mMEEe8mCvmPpEhBV6uK3QBgrNTr6dRdV3cUsVxG4HBHOk/s72-c/_MG_6132.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/05/serikali-kupitia-wizara-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/05/serikali-kupitia-wizara-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy