SEKRETARIETI YA UMOJA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA KANDA YA AFRIKA YAKUTANA NA NAIBU SPIKA WA BUNGE LA UGANDA.
Naibu Spika wa Bunge la Uganda, Mhe. Jacob Oulanyah (wa pili kulia), Mbunge wa Bunge la Uganda na Mweka Hazina wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Mhe. Elijah Okupa (kulia), Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika  Ndg. Demetrius Mgalami (wa pili kushoto) na Wakili Dunford Mpelumbe (kushoto) afisa wa Chama hicho Tawi la Afrika wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya ujumbe wa Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama Kanda ya Afrika kumtembelea Mhe. Naibu Spika na kufanya nae maongezi Ofisini kwake Bungeni Mjini Kampala.

HomeJamii

SEKRETARIETI YA UMOJA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA KANDA YA AFRIKA YAKUTANA NA NAIBU SPIKA WA BUNGE LA UGANDA.

Naibu Spika wa Bunge la Uganda, Mhe. Jacob Oulanyah (wa pili kulia), Mbunge wa Bunge la Uganda na Mweka Hazina wa Chama cha Mabunge ya J...

RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA JUMAPIL MJINI MOSHI
KIJANA ALIYETOKA DAR HADI ARUSHA KWA BAISKELI AMEZINDUA RASMI KITABU CHAKE
MKUU WA MKOA WA PWANI MHANDISI NDIKIRI AISHUKURU TANESCO KWA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI


Naibu Spika wa Bunge la Uganda, Mhe. Jacob Oulanyah (kulia) akisalimiana na Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Demetrius Mgalami (wa pili kushoto) kabla ya ujumbe ulioongozwa na Katibu huyo kuzungumza nae ofisini kwake Bungeni Mjini Kampala. Kushoto ni Wakili Dunford Mpelumbe, Afisa wa Chama hicho Tawi la Afrika


Wajumbe wa Sekretarieti Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, waliongozwa na Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama cha hicho Ndg. Demetrius Mgalami (kulia) mara baada ya ujumbe wa Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama Kanda ya Afrika ulipomtembelea Mhe. Naibu Spika wa Bunge la Uganda, Mhe. Jacob Oulanyah (hayupo kwenye pichani) na kufanya nae mazungumzo Ofisini kwake Bungeni Mjini Kampala.



Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Demetrius Mgalami (kulia) akizungumza pale alipomtelea Naibu Spika wa Bunge la Uganda, Mhe. Jacob Oulanyah (hayupo kwenye pichani)   ofisini kwake Bungeni Mjini Kampala. Kushoto ni Wakili Dunford Mpelumbe, Afisa wa Chama hicho Tawi la Afrika. (PICHA NA OFISI YA BUNGE)


Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SEKRETARIETI YA UMOJA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA KANDA YA AFRIKA YAKUTANA NA NAIBU SPIKA WA BUNGE LA UGANDA.
SEKRETARIETI YA UMOJA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA KANDA YA AFRIKA YAKUTANA NA NAIBU SPIKA WA BUNGE LA UGANDA.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVlDGA0WOZcTcTQjNV8AqcsPJ87jnESgApnvfupIQPiTH8IyDp2lle2_e6qn8aY12FFfg3xWE7or2Mz6Zoug5In0NuRf93K9St6IwH_LgSBVkxz626HaRHZP6FKryxTqH4VNkuVLF6OvI/s640/IMG-20180326-WA0053.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVlDGA0WOZcTcTQjNV8AqcsPJ87jnESgApnvfupIQPiTH8IyDp2lle2_e6qn8aY12FFfg3xWE7or2Mz6Zoug5In0NuRf93K9St6IwH_LgSBVkxz626HaRHZP6FKryxTqH4VNkuVLF6OvI/s72-c/IMG-20180326-WA0053.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/04/sekretarieti-ya-umoja-wa-mabunge-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/04/sekretarieti-ya-umoja-wa-mabunge-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy