HAKUNA CHA AJABU KUFUNGIA NYIMBO ZA WASANII ZILIZOKIUKA MAADILI': DKT. MWAKYEMBE
HomeJamii

HAKUNA CHA AJABU KUFUNGIA NYIMBO ZA WASANII ZILIZOKIUKA MAADILI': DKT. MWAKYEMBE

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harisson Mwakyembe akijibu swali wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika mk...

TAMASHA LA PASAKA 2018 KUMNG'ARISHA ROSE MUHANDO
RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS KENYATTA WA KENYA, JIJINI KAMPALA UGANDA.
PROFESA JOHN SHAO AZUNGUMZIA UZOEFU WAKE KATIKA MASUALA YA TIBA: NI KWENYE SEMINA YA WCF KWA MADAKTARI






Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harisson Mwakyembe akijibu swali wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika mkutano wa kumi na moja wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo Aprili 10, 2018 mjini Dodoma. Dkt. Mwakyembe amesisitiza hakuna ajabu kwa Tanzania kufungia nyimbo za wasanii zilizokiuka maadili kwani hata nchi nyingine kama Nigeria na DR-Congo wamewahi kufanya hivyo.


Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akijibu swali wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika mkutano wa kumi na moja wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo mjini Dodoma.


Waziri wa Madini Mhe. Angela Kairuki (kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika mkutano wa kumi na moja wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo mjini Dodoma.


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (kulia) akibalishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Wawi (CUF) Mhe. Ahmed Juma Ngwali, wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika mkutano wa kumi na moja wa bunge la Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, leo mjini Dodoma.

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: HAKUNA CHA AJABU KUFUNGIA NYIMBO ZA WASANII ZILIZOKIUKA MAADILI': DKT. MWAKYEMBE
HAKUNA CHA AJABU KUFUNGIA NYIMBO ZA WASANII ZILIZOKIUKA MAADILI': DKT. MWAKYEMBE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilGeoeMcis49umEHifPSzPpMZJTQ29vdhyphenhyphenHPc1VrLhyphenhyphenO8PYv3PMVvXZcgW6NqN5DCHdgGM2cH0EQpwlvvFFhBnPXTOcqrIXtefqFM7T-TfpxBfnnXyWi5sSd0AcBHUH4TRBO53Id3faFk/s640/2.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilGeoeMcis49umEHifPSzPpMZJTQ29vdhyphenhyphenHPc1VrLhyphenhyphenO8PYv3PMVvXZcgW6NqN5DCHdgGM2cH0EQpwlvvFFhBnPXTOcqrIXtefqFM7T-TfpxBfnnXyWi5sSd0AcBHUH4TRBO53Id3faFk/s72-c/2.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/04/hakuna-cha-ajabu-kufungia-nyimbo-za.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/04/hakuna-cha-ajabu-kufungia-nyimbo-za.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy