WANAWAKE WAASWA KUCHANGAMANA ILI WATENGENEZA FURSA ZA KIUCHUMI

 Mkurugenzi wa Taasisi ya I-learn East Afrika, Noelah Bomani (Kulia) akimkabidhi tuzo Mwanamke aliyefanya vizuri na kuwa kivutio kati...




 Mkurugenzi wa Taasisi ya I-learn East Afrika, Noelah Bomani (Kulia) akimkabidhi tuzo Mwanamke aliyefanya vizuri na kuwa kivutio katika mafanikio yake katika kipindi cha mwaka 2017/2018, Joyce Ibengwe Nangai ambaye ni Meneja Mawasiliano na Masoko  wa Chama cha Waajiri  Tanzania (ATE). (Imeandaliwa na Robert Okanda Blogs)
Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifatilia mada.

Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifatilia mada.



Mawenyekiti wa Chemba ya Wajasiriamali Wanawake Tanzania (TWCC) Jacqueline Maleko akizungumza kuwaelezea  uzoefu aliopitia na kuwasisitizia umuhimu wa kuchangaman ili waweze kutengeza fursa za kiuchumi hata kijamii wakati wa usiku wa Wanawake na tunzo kwa Mwanamke aliyefanikiwa kwa mwaka 2018 iliyoandaliwa na Tasisi ya Shangwe ambapo wanawake kutoka sehemu mbalimbali walikutana na kuzungumza mambo ya ujasilimali na namna ya kuvuka kutoka hatua moja hadi nyingine.

Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa.


Meneja Bima ya magari kutoka shirika la Bima ya Taifa (NIC) Emakulata Mwaitege, akizungumza umuhimu wa Wanawake kujiwekea bima katika biashara zao na maisha yao hili waweze kusimama tena pindi majanga yanapowakuta.

Muigizaji na  Msanii waTabasam PR Consultant, Regina Beraldo Kihwele akitumbuiza  katika kongamano hilo.

Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa.

Mshereheshaji wa Kongamano hilo, Angela Kileo akiwajibika katika hafla hiyo. 

 Meneja mafao kutoka mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa NSSF, Rosemary Mchagula akileza umuhimu wa wanawake kujiunga na mfuko huo kutokana na mafao yanayotolewa katika kuwasaidi kwa kulitaja fao la uzazi. Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shangwe Event, Deus Ntukamanzina.

Mmoja ya Wanawake walioshiriki katika kongamano hilo  akichangia katika mada zilizokuwa zkitolewa kwenye kongamano hilo.

Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifatilia matukio katika kongamano hilo.

Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa.

Mmoja ya Wanawake walioshiriki katika kongamano hilo  akichangia katika mada zilizokuwa zkitolewa kwenye kongamano hilo.

Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa. Kulia ni wazazi wa Afisa Mtendaji wa Shangwe Events, Deogratiasi Ntukamzina na Mke wake (wa pili kulia) 

Afisa Masoko wa Kituo Cha Uwekezaji nchini(TIC), Latifa Kigoda akileza ni namna gani wanawake wanaweza wakaungana na kuwa wawekezaji wakubw akatika mapinduzi haya ya uchumi wa Viwanda nchini.

 Mmoja ya Wanawake walioshiriki katika kongamano hilo kutoka TIB, Lisa Zavalla akichangia juu ya umuhimu wa wanawake kujikwamua kiuchumi katika mapinduzi ya uchumi wa Viwanda.

 Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali kwenye kongamano hilo.

 Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali kwenye kongamano hilo. Kulia ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Mamlaka ya Uchui na Uwekezaji Nchini (EPZA) Grace Lemunge . 

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya I-learn East Afrika, Noela Bomani akieleza umuhimu wa wanawake kuchangamana na watu mbalimbali hili waweze kujikwamua kiuchumi kuliko kukaa sehemu moja kusubiri fursa ziwafate.


Sehemu ya Wanawake waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa.

Mwanasaikolojia na Mshauri wa masuala ya familia, Sadaka Said, akieleza umuhimu wa mwanamke kuambatana na mabinti zao katika maisha hili kuwajenga kwa ajili ya kesho yao kuliko kuwaacha nyumbani.

Afisa Mtendaji mkuu wa Shangwe  Event, Deus Ntukamanzina akizungumza na  Wanawake waliofika katika hafla hiyo na kuwashukuru kwani kukutana kwao ndio mwanzo wa wao kupiga hatua kubwa zaidi
Afisa Mtendaji Mkuu wa Secrets Lingerie, Fatna Tambwe (kushoto) na Afisa Masoko wa Kimtandao wa Mult-Choice Tanzania Grace Mgaya wakifuatilia mada katika konganano hilo. 

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WANAWAKE WAASWA KUCHANGAMANA ILI WATENGENEZA FURSA ZA KIUCHUMI
WANAWAKE WAASWA KUCHANGAMANA ILI WATENGENEZA FURSA ZA KIUCHUMI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgtjdLxD9rkpjhM4iHAZf43em1RNAUbLwAImeFQRu7rvbJFMrBW0HkDtXS4A5s_9OZBUr5bnHhBw_QGWBxQKu77sGbaUEyovQaLoadYgShraW41auhyphenhyphenaNHFp5sqfy_e_MA8FtSyHefGjmM/s640/J5.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgtjdLxD9rkpjhM4iHAZf43em1RNAUbLwAImeFQRu7rvbJFMrBW0HkDtXS4A5s_9OZBUr5bnHhBw_QGWBxQKu77sGbaUEyovQaLoadYgShraW41auhyphenhyphenaNHFp5sqfy_e_MA8FtSyHefGjmM/s72-c/J5.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/03/wanawake-waaswa-kuchangamana-ili.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/03/wanawake-waaswa-kuchangamana-ili.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy