WAZIRI MKUU KATIKA MKUTANO WA AU MJINI ADIS-ABABA, ETHIOPIA
HomeJamii

WAZIRI MKUU KATIKA MKUTANO WA AU MJINI ADIS-ABABA, ETHIOPIA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU, kwa niaba ya Rais John Pombe Magufuli mjini ...

DKT. KALEMANI AITAKA TANESCO KUUNGANISHA NGUVU KUKAMILISHA MIRADI YA UMEME YA KURASINI NA KIMBIJI
NAIBU WAZIRI MPINA AKUTANA NA KAMATI YA ARDHI NA MAWASILIANO YA BARAZA LA WAWAKILISHI KUTOKA ZANZIBAR
SHULE YA GENIUS KINGS YAJIPANGA KUWA SHULE BORA KITAALUMA TANZANIA



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU, kwa niaba ya Rais John Pombe Magufuli mjini Adis-Ababa, Ethiopia Januari 29, 2018.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) na Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa (katikati) nje ya ukumbi wa Nelson Mandela mjini Addis Ababa, Waziri Mkuu yupo Nchini Ethiopia, kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU. Januari 29, 2018.



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahi jambo na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete, nje ya ukumbi wa Nelson Mandela mjini Addis Ababa, Waziri Mkuu yupo Nchini Ethiopia, kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU. Januari 29, 2018.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mke wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere, nje ya ukumbi wa Nelson Mandela mjini Addis Ababa, Waziri Mkuu yupo Nchini Ethiopia, kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU. Januari 29, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mke wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere, nje ya ukumbi wa Nelson Mandela mjini Addis Ababa, Waziri Mkuu yupo Nchini Ethiopia, kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU. Januari 29, 2018.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mjumbe Maalum na Mwenyekiti wa Umoja wa Africa Nchini Sudan, Prof. Joram Biswaro, nje ya ukumbi wa Nelson Mandela mjini Addis Ababa, Waziri Mkuu yupo Nchini Ethiopia, kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU. Januari 29, 2018.  (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI MKUU KATIKA MKUTANO WA AU MJINI ADIS-ABABA, ETHIOPIA
WAZIRI MKUU KATIKA MKUTANO WA AU MJINI ADIS-ABABA, ETHIOPIA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvUR6zqiffzV7SXeF_GuzRDkpNYBBNZnd17QswMWwIRoAmj3QxrlhAmuHDPXvtF4z7YDKbqv-F51hsl02ZZSToFBUsu8E7YUhKpVRZozw1TrrBiOdTxBAU37azaxaTiDGTr_gy-HZ3ZRSI/s640/PMO_5327.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvUR6zqiffzV7SXeF_GuzRDkpNYBBNZnd17QswMWwIRoAmj3QxrlhAmuHDPXvtF4z7YDKbqv-F51hsl02ZZSToFBUsu8E7YUhKpVRZozw1TrrBiOdTxBAU37azaxaTiDGTr_gy-HZ3ZRSI/s72-c/PMO_5327.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2018/01/waziri-mkuu-katika-mkutano-wa-au-mjini.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/01/waziri-mkuu-katika-mkutano-wa-au-mjini.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy