WAZAZI MBURAHATI SACCOS YAIVA, KUPATA HATI YA USAJILI HIVI KARIBUNI
HomeJamii

WAZAZI MBURAHATI SACCOS YAIVA, KUPATA HATI YA USAJILI HIVI KARIBUNI

 Mwenyekiti wa muda wa Wazazi Mburahati Saccos, John Mapunda akifungua mkutano wa wanachama wa Saccos hiyo, uliofanyika kwenye ukumi wa J...

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI TOLEO LA 168
IDARA YA HABARI YAFANYA MAHOJIANO NA MAKAMU WA RAIS
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WAFANYAKAZI NCHINI TUCTA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwenyekiti wa muda wa Wazazi Mburahati Saccos, John Mapunda akifungua mkutano wa wanachama wa Saccos hiyo, uliofanyika kwenye ukumi wa Jengo la Kitegauchumi la CCM, Mburahati, Dar es Salaam, jana. Amesema ameamua yeye na wenzake kuanzisha ushirika huo wa Akiba na mikopo siyo kwa maslahi ya kisiasa bali kuwasaidia kuwasaidia kiuchumi wanachama wa Jumuiya ya Wazazi katika Kata ya Mburahati ili nao waweze kuwa na maisha bora wakiwa ni miongoni mwa Watanzanaia wenye mahitaji hayo. Kushoto ni Ofisa Ushirika wa Manispaa ya Ubungo Emmanuel Philipo ambaye alifika kwenye mkutano huo kutoa mafunzo ya namna bora ya kuanzisha na kuendesha Saccos. Kulia ni Mhazini wa muda Boniface Chigenda na Katibu wa muda Sofia Kiroboto.

 Ofisa Ushirika wa Manispaa ya Ubungo Emmanuel Philipo akitoa mafunzo ya namna bora ya kuanzisha Saccos na kuifanya idumu wakati wa mkutano huo. Amesema Saccos hiyo kwa sasa imeshatimiza masharti yote ya kupatiwa usajili na inapatiwa usajili huo hivi karibuni, alisema katika Kadirio lake Saccos hiyo inatarajia kupata zaidi ya Sh. milioni 13 kutokana na ada na michango ya wanachama ambao hadi sasa wamefikia 68, pia kufanya matumizi ya zaidi ya Sh. milioni 13 na kubaki na ziada ya zaidi ya Sh. milioni 29.

 Kitabu au Masharti ya Saccos hiyo

 Ofisa Ushirika wa Manispaa ya Ubungo Emmanuel Philipo, akionyesha orodha ya wananchama 68 waliokwishajiunga na Saccos hiyo. Kulia ni Mwenyekiti wa muda John Mapunda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Kata ya Mburahati.

 Ofisa Ushirika wa Manispaa ya Ubungo Emmanuel Philipo akifafanua jambo wakati akionyesha orodha hiyo 

 Baadhi ya wanachama wa Saccos hiyo wakisikiliza Ofisa huyo kwa makini  Mwenyekiti wa muda wa Saccos hiyo John Mapunda akitoa nafasi kwa wanachama kuuliza maswali

 Mwanachama wa Saccos hiyo Dismas Shirima akiuliza swali.

 Mwanachama wa Saccos hiyo Mtindi Mbega akiuliza swali

 Ofisa Ushirika wa Manispaa ya Ubungo Emmanuel Philipo (kushoto), akimsikiliza kwa makini Mwanachama wa Saccos hiyo Justin Kaijage wakati akiluzwa swali

 Mwenyekiti wa muda wa Saccos hiyo John Mapunda na Katibu wake Sofia Kiroboto wakifuatilia kwa karibu wakati wanachama wakiuliza maswali

 Ofisa Ushirika wa Manispaa ya Ubungo Emmanuel Philipo akijibu maswali

 wanachama ukumbini

 Wanachama ukumbini

 Wanachama ukumbini 

 Wanachama wakichangamkia kulipa ada 

 Wanachama wakichangamkia kulipa ada

Mtoto wa mmoja wa wanachama wa SACCOS akijiburudisha kwa soka wakati mkutano ukiendelea

Ofisa Ushirika wa Manispaa ya Ubungo Emmanuel Philipo (kulia) akiagana na wanachama waanzilishi wa Saccos hiyo, Dickson Tungaraza, baada ya kikao kumalizika. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZAZI MBURAHATI SACCOS YAIVA, KUPATA HATI YA USAJILI HIVI KARIBUNI
WAZAZI MBURAHATI SACCOS YAIVA, KUPATA HATI YA USAJILI HIVI KARIBUNI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg9zMgBD8rM9SRD1TUwO6XV3I6nOKZ9cBnGPHP1wBDUqrn6eXFWpbFOR8x7-YfSKz8Ak9vXpXXLMuDtYfF6cnmeOJxOnwaFTOWBrnIlX4goU8Pu607qTMjeD8839gPjnp06eZ1wg-7rDK1h/s640/1.+BN640090.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg9zMgBD8rM9SRD1TUwO6XV3I6nOKZ9cBnGPHP1wBDUqrn6eXFWpbFOR8x7-YfSKz8Ak9vXpXXLMuDtYfF6cnmeOJxOnwaFTOWBrnIlX4goU8Pu607qTMjeD8839gPjnp06eZ1wg-7rDK1h/s72-c/1.+BN640090.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/11/wazazi-mburahati-saccos-yaiva-kupata.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/11/wazazi-mburahati-saccos-yaiva-kupata.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy